@benjekumedia: Kumekuwa na ukosoaji mkubwa dhidi ya uenguaji wa aliyekuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam. Katika maoni; Sheikh Mwaipopo amehoji kwa nini viongozi wa BAKWATA walishindwa kulimaliza suala la Sheikh wa Mkoa aliyekuwa ametenguliwa ikiwa ni suala la kawaida la kiutawala na kidini. Ameeleza kuwa Waislamu wanapaswa kuwa na utaratibu wa kutatua changamoto na migogoro yao mapema kabla haijafikia hatua ya kuharibika na kuanikwa hadharani. Kwa mujibu wake, viongozi walipaswa kuyazungumzia na kuyatatua masuala hayo ndani ya taasisi kabla hayajatoka nje. Anadai kwamba kama hatua hizo zingechukuliwa mapema, hata Bella asingefikia hatua ya kuzungumzia suala hilo kwenye mitandao ya kijamii. Ameongeza kuwa kumtengua Sheikh hakujatatua tatizo lenyewe, bali kumeonyesha kwamba viongozi walishindwa kulidhibiti na kulitatua kwa njia sahihi. NB: #Funguka Ungeshilikishwa katika maamuzi ni yapi yangechukua maamuzi yako?!#creatorsearchinsights #tiktok #tiktokindia

BENJEKU MEDIA
BENJEKU MEDIA
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 15 July 2026 17:41:03 GMT
7043
245
3
7

Music

Download

Comments

user350146757481
user350146757481 :
Uamuxi wangu ungekua kuskizwa kwa hili jambo la ndoa la shekh wetu kwa njia iliyo sahihi lkn sio kuleta mitandaoni sio poa mmejua kutuumiza sana😭😭😭
2026-07-15 21:27:34
2
jago1902
Jonathan Nchango :
kama shekhe alikuwa anatafutiwa sababu vile
2026-07-16 00:18:05
1
lilema_tv
Lilema_tv :
yaani ya wanine wanne mie nikuogipa tu kupinga aya ila kichwan 16 ipo
2026-07-15 22:35:05
0
To see more videos from user @benjekumedia, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About