@bongofive: “Atakuwa na msongo wa mawazo mkubwa sana,” Bosco Mwanasaikolojia kuhusu tukio la Binti Monalisa kuagwa na baba yake kwa zawadi ya Tsh Bilioni 1. Kuangalia full interview tembelea YouTube ya BongoFive Imeandaliwa na @yasiningitu & @samirkakaa
Uyo bon n tajiri mkubwa mnoooo mnoooo mnooooooooooooooooooo
2026-07-16 07:31:47
0
nana :
kitu mnachopaswa kujua ni kwamba alietoa bilion moja sio wazazi ni kamati
huyo mzee anaweza asiwe na utajili huo ila akawa na watu wengi na wenye kutoa michango mingii na mikubwa .
2026-07-16 04:24:08
16
Stig jr :
kwenye maisha jizungumzie ww usizani kila mtu yupo kama ww kuna watu hata mambo ya sherehe huwa hawataki na hata ikiwa kawaida wanakuwa normal
2026-07-15 18:10:44
20
Divdora💦 :
mbona mnapenda kujadili maisha ya mtu mshajua na atakuwa na msogo wa mawazo 😂😂😂
2026-07-16 05:58:01
6
Didiy :
Mngeachana na maisha ya watu😆😅
2026-07-16 06:47:47
10
Msomi Bwana :
2026-07-16 05:48:31
0
dorine store :
uyo dada atamsaidiaa
2026-07-16 05:18:00
0
tiy collection 🛍️ :
nampa pole afanye kitu kulingana nauwezo wake asiangalie upande wa pili umefanya nini
2026-07-16 11:42:42
0
James umeme kariakoo :
yuko na pesa
2026-07-16 04:33:18
2
loveness joseph💙 :
😂😂😂😂ila kufatilia wa2
2026-07-16 08:09:18
1
Sijaona Charles :
kamati ndio imetoa pesa hizo acha kuharibu saikolojia za watu
2026-07-16 09:11:14
2
baba p :
sasa Wana bilin na millioni mianne Bado wawaze ninini
2026-07-15 19:50:45
6
Regina :
Bwana harusi ni tajiri swala la hela siyo tatizo lake namfahamu vizuri sana
2026-07-15 19:47:24
4
feka_jr :
hapo issue ni ndogo tu ili nisiaibike nitamshawishi mke wangu anipe hiyo bilioni moja kisha naongezea milioni miatano ili ionekane kuwa Mimi nimetoka b 1.5 😄😄
2026-07-16 12:40:10
0
Agness H mayanga :
mwanaume pia anazo bhana msiogope wapendwa
2026-07-16 12:24:50
0
Georgina Rodriguez :
kwani hawakujuana kipato before
2026-07-16 11:05:20
0
Japhet Don Mathias :
live
2026-07-15 18:45:17
0
❣️Official Jj😍🤎 :
ni tarehr 19 tu jpli tunasubiri asituangushe KAHAMA kwenye harusi😁😁😁😁
2026-07-15 21:33:07
1
Debora Elisa :
ila huyo si baba yake mkumbuke, ni baba wa kujitolea kwa vile binti alikuwa mtii na muaminifu.
2026-07-16 08:18:04
0
munyang'ende :
afanye kwauwezo wake
2026-07-16 12:02:38
0
msukuma@OG :
uchumi wa mwanaume anaeoa unalingana na ule wa baba mkwe kwa hiyo pesa sio shida
2026-07-16 09:57:23
0
yusternyirenda :
nikichukia billion 1 niliyopewa sendoff na mume wangua akachukua billion 1 yake na 1 ya baba yake, 1 ya mama yake akionyesha kisha akarudisha 😂😂😂
2026-07-16 10:16:02
0
alphoncemilambo :
ajapewa pesa bosheni kwani hizo pesa zake
2026-07-16 08:52:10
0
𝓳𝓾𝓵𝓲𝓾𝓼 𝓳𝓸𝓱𝓷 :
kwan bwana arusi yeye anasemaje😁😁😁
2026-07-16 08:41:41
0
To see more videos from user @bongofive, please go to the Tikwm
homepage.