hakuna tajiri anaependa gari lake likae porini ukiona spare imechelewa ujue upatikanaji wake ni mgumu kuhusu mafuta wasimamizi mara nyingi ni madereva wanajua umbali fulani yatatumika mafuta kiasi fulani ila ki ukweli madereva wengi sio waaminifu
2026-07-16 06:07:50
3
BEA SIMBA :
mwenyekiti wa malori na yeye anamiliki gari awezi kupigania haki za madereva
2026-07-16 08:28:14
1
Castro mhanje :
Wasimamizi wengi wanakandamiza madereva kwa maslahi yao hapa Tanzania ukiangalia kampuni ambazo zimenyooka kwa kila kitu hazifiki ishirini labda kumi na tano ndy zimenyoka.
2026-07-16 07:11:55
2
mk :
2026-07-16 06:16:55
1
KIM BRUNO🇹🇿🇿🇦 :
Tz Ndiyo namba moja kwa kuonea madereva
2026-07-16 05:15:23
2
kwizeraissa :
kweli kaka
2026-07-16 06:24:11
1
Wizzydady :
ndio no moj hao
2026-07-16 05:20:25
1
Moshi dotto :
Kaka umeongea ukwel kabisa katika maisha ya Dereva
2026-07-16 08:23:59
0
Rodgers Mgosi :
Safi sana wasafi
2026-07-16 07:54:23
0
fidelis :
kwl kabsa mzee
2026-07-16 05:01:45
1
mangabu37 :
amin kaka
2026-07-16 07:18:28
0
said mlula :
sisi hatina wakutusaidia bana
2026-07-16 07:30:07
0
Castro mhanje :
Kampuni ambazo zimenyooka na zinathamini dereva ni mtu gani hazina matatizo ya kipuuzi ambayo kampuni zingine yapo.
2026-07-16 07:10:05
0
omary :
ubarikiwe umetusemea kaka mkubwa
2026-07-16 06:41:13
0
MR AYO🚛🚛❤️🔥 :
kweli kabisa
2026-07-16 06:36:21
0
Castro mhanje :
Shida kubwa ipo kwa wasimamizi ndy wanaleta shida sababu wao wanawaaminisha matajiri kwenye uongo sio ukweli. Madereva wanapeana taarifa kwamba sehemu fulani usiende kufanya kazi kuna fulani hafai kwenye maslahi.
2026-07-16 07:08:29
0
strongboy :
Dereva aheshimiwe.
2026-07-16 07:04:20
0
aziz mkumbo :
zembwela upo sawa tunapigwa kama mpira wa kona
2026-07-16 08:29:12
0
abasiabdallah69 :
KWELI KABISA MJOMBA👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
2026-07-16 06:38:37
0
BUNJU CLUVETY 🚎🚎 :
ataliii
2026-07-15 19:20:17
0
To see more videos from user @babamsaid1, please go to the Tikwm
homepage.