milioni 15 nimejenga nyumba ya vyumba 3 vyote masta seble jiko na paplik toilet Hadi bati na umeme na zege chini ya kuekea tairiz na nimjengo Wa kisasa pia we milioni 20 Bila bati ? 🤣🤣🤣aah upo vzr fundi
2026-07-16 11:04:01
15
Issa :
milioni 24 hujeng nyumba vyumba v4 nyumba ya kisasa hujeng labda uweke chumbq km kibirit lakin nyumba km nyumba hujeng hata km ushapiga fondeshen hujeng
2026-07-16 10:57:06
4
nai faras🐎 :
kweli Zanzibar jmn utatukufa
2026-07-16 17:48:23
0
user1650838445690 :
nae anafanya biashara et ukisimamia mwenyewe kila kit ukenda ukanunua mwenyewe haifiki ustupige😁😁
2026-07-16 14:31:35
0
luckymarley29🌹 :
Fondesheni tofali milion 20 😳😳😳
2026-07-18 11:20:51
0
user9861261594313 :
duh hapo sio kweli hata kuezeka bado aaa kaka
2026-07-19 02:48:09
3
master_Abdy :
mm nina 15M, najenga nyumba ya vyumba vingap mpka kuezeka?
2026-07-20 13:20:41
1
dokta_ashraf :
fundi issa watu kiukweli wanakukubali kila swali unalijibu kiuhakika
2026-07-16 06:13:45
6
user79051109709373 :
Pesa iyo bila bati mbona pesa nyingi iyo
2026-07-16 09:06:07
2
Tum Tum kareem :
ujenzi ni gharama kw znzbr kw pes hiyo alosem mbn Iko sawa tu
2026-07-16 20:09:15
0
S_Yildirm ♌️ :
Hapo ni mpaka unahamia?
2026-07-17 12:27:27
0
Siti Ali :
foundation peke yake shingapi
2026-07-17 11:06:45
0
kh :
kwa vyumba vinne tayar nishajenga kozi tano nikitaka kumalizia itacost bei gan
2026-07-16 09:05:34
0
Heroe 2 night 🧑🦯➡️🌎 ✈️ :
😳 Milion 23 Zanzibar hii ya sasa 🧑🦯➡️
2026-07-16 15:02:19
0
salma Abdallah :
Hi fundi
2026-07-17 09:05:01
1
Moha+91 :
kwa Zanzibar ipi 20M ndugu ww ushajenga au unasema tu
2026-07-17 11:53:11
1
user1650838445690 :
he hapana
2026-07-16 14:28:59
1
bin :
kiwanja changu ni 75 kwa 75 foundation unajenga kwa bei gn
2026-07-16 15:45:28
1
Issa :
nyumba iliosimamq naurefu mzr wakisasa iliokuwa kubwa ni tofali elf 6 au 6 mia5 milion 6 nanusu iyo tofali tu saruj mifuko 100 iwe pale sh milion 1 lak 8 kuna nondo mchanga kokoto mabao ufund mazaga zaga kibao
2026-07-16 11:09:32
1
user30728620223522 :
fundi Issa nahitaj plasta nyumba ya vyumba 4 ndani n nje sh.ngap
2026-07-16 08:35:24
1
HOSPITALITY FOR LIFE :
kama umewahi kujenga basi bishana na fundi na kama hujawahi kujenga kaa kwa kutulia, Ujenzi sio usenge kwamba ni rahisi tu kuufanya, ukiamua tu unafanya usenge. ujenzi ni mwanaume kwelikweli
kiasi cha pesa alicho kitaja mpaka nyumba ifike hatua hiyo,fundi pia kajinyima sana na presha juu muda wote.
pongezi kwako fundi hakika InshaAllah nitakupa moja ya kazi yangu Mungu akitujaalia riziki na afya. upo real mno
2026-07-17 15:41:12
1
Ismail Adenrage :
aa sio kwel bhna unaeza kueka makisio hujui kiwanj kipoj nyumb inaukuwa gan
2026-07-26 20:05:18
0
Hassan Khamis :
Gharama ni sio GARAMA
2026-07-20 18:03:59
0
mamy chia :
mm chumba kimoja t na ukumbi na choo na jiko kwa laki 7 fondeshen siapat
2026-07-16 08:44:17
0
To see more videos from user @fundi_issa, please go to the Tikwm
homepage.