Hata nikiwa na gorofa sikai na ndugu yangu wala wa mtu acha tuwasaidie wakiwa mbali
2026-07-16 07:41:38
73
sarah michael :
warngi haooo😂😂😂😂
2026-07-17 06:18:03
0
Esther 🧚🏻♀️ :
Hii ningeweka status jirani angu aione sema hana smartphone😂🙌🏽
2026-07-16 14:08:06
23
christian :
Ndo maan Mungu alimwambia Ibrahim atoke katikati ya ndugu zake
2026-07-16 13:18:32
28
ms....ammy :
me najuta kwakwel wakurya🙌🙌🙌
2026-07-16 11:34:55
18
angel Mussa :
warangi wenzangu mpo?
2026-07-16 16:05:13
15
Secymassawe25 :
Wagogo mko wapi 😂😂😂😂😂😂
2026-07-16 10:20:37
10
Gloria :
mimi kila siku nasemaga mtu asije kwangu bila taarifa maisha ya mjini ni very expensive kila kitu ni PESA ila kijijini you can eat hata km huna mia kuna mashamba,kuna mazao watu hawakosi chakula ila mtu akikuona mjini unapendeza anafikiri una maisha mazuri kumbe hapo unapasuka kichwa sijui kodi,ada,chakula,gesi, umeme,maji,nauli ya kwenda kazini, bado watoto hawajaumwa na mengine mengi na vyote vinatumia pesa alafu mtu anakuja kwako bila taarifa anakaa mwezi kheeeee jamaniiii hata mm siwezi kwenda kwa mtu nikakaa mwezi hata wiki tu naona shughuli either nimetoa taarifa au ni dharura jamani siwezi. Kwanza i feel peace and safe at my place
2026-07-16 21:08:39
0
kaylah mkumbo99 :
hizo tabia kiukweli ni mbaya
2026-07-16 11:48:48
7
Naah mshunga :
wafipa watanishambulia kwasababu niliwaza kwa mawazo yangu nikafikiria nifanyej ili wanielewe hawakunielewa mpaka ntakapo waelewesha kwa mtazamo wangu 🤣🤣
2026-07-16 19:30:51
3
Mama wawili :
mim sikae na ndugu yoyote yule sio wa upande wa mume wala upande wangu hata mdogo wangu sikai nae , nitawasaidia wakiwa huko huko 🙌🙌
2026-07-16 12:23:53
6
Display Gasper :
mbona unawasema warangi jamani 😭😭😭
2026-07-16 21:11:47
0
CATHYCORY_HOME_STORE :
Na ushuhuda 😂💔
2026-07-17 07:06:08
0
B.M :
wahaya tu ndio hatunaga hizo 🤣🤣🤣
2026-07-16 18:39:35
0
passian7 :
Dada nielekeze hiii namna yakuweka mtu hapo pemben
2026-07-16 16:24:21
3
nicksonkavishe :
warangi sasa
2026-07-16 19:47:20
2
Jessy :
wapo hapa ngoja niongezee sauti
2026-07-16 16:22:45
3
veel_accessories :
Babaa😂😂😂🙌🏾📌
2026-07-16 21:09:29
1
Caro Mariki :
Hata kama ikitokea nina gorofa ndugu sitaki kwangu nitamsaidia akiwa mbaliiiiiiiii sitak baba uko sawa kabisaaaa
2026-07-16 11:31:42
5
Judith Mhando :
Asante sanasana baba barikiwa sana
2026-07-16 13:50:34
3
Toto la kibondei :
ndugu kwangu hakai tena wanajua kabisa kua siwapendi
2026-07-17 09:42:14
1
felisitus :
haya mahubiri si yawekwe kwenye mabango yote makubwa jaman ili kila mtu askie
2026-07-16 19:00:48
1
amjulie30 :
wasukuma
2026-07-16 12:14:58
2
JHEMMYSBEAUTY&MACHINERY :
its disturbing
2026-07-16 09:44:42
1
ms.___pendo :
Kwa kweli sio tambia nzuri kabisa
2026-07-16 09:34:05
2
To see more videos from user @ney1collection, please go to the Tikwm
homepage.