miongoni mwa dalili za ukafili ni kujiona upo sawa kuliko wengine
2026-07-17 10:41:49
1
zugamundi :
kwanz tuamlishe mema kisha kukutaza mabaya ,huwezi kuanza kukutaza kabla wema hawaujui,mtu akijua wema mqbaya ataacha mwenyewe hutumii nguvu kubwa kumkataza, ndio maana tabligh la kwanza kuswali swala isikupite
2026-07-17 07:55:47
2
binkassim :
rabbia zidna ilma warzukna fahma
2026-07-17 12:01:01
0
sheikh Ibrahim Said :
shikhe abubakr Ajazairi
ابو بكر الجزاءري
moja ambao wame asisi Madina Islamic university
amewasifu Tableegh...
hebu sheikh Humed asrme kwamba amekosa Ajazairi au NI hakuekewa yeye ndio anafahamu timamu...
2026-07-17 03:44:52
0
Shabani 🙄🤔 :
sio mirungi tu alikuja mtu na akakojoa katika msikiti wamtume 👈 kama hiyo haitoshi PIA ALLAH ALIWAACHA MASWAHABA wamtume WASWALI SWALA ZAO UKUWAKIWA WAMELEWA POMBE 👈 haya umtoe makosa Allah na mtume .ilakama utaelewa nikawanini ALLAH ALIWAACHA KWAMUDA MASWAHABA WALEWE NAUKU WAKIWA WANASWALI utaelewa nini maana ya malezi .Allah akufahamishe