@kusagatv: WITO WA KUMSAIDIA MZEE BAKARI IDI MPAYA Tunawaomba wasamaria wema wajitokeze kumsaidia Mzee Bakari Idi Mpaya kwa mahitaji muhimu kama mchele, unga, sukari, mashuka na vingine vya msingi. Pia, tunaomba msaada wa simu ndogo ya kawaida ili aweze kuwasiliana na watu wanaotaka kumsaidia au kumjulia hali. Naomba pia Brother Angu @bolo_paints na wadau wengine na @jembe_car_accessories_ @marandu_investment kusaidia upakaji rangi wa nyumba yake ili kuboresha mazingira yake ya kuishi. Kila mchango, mkubwa au mdogo, utakuwa na mchango mkubwa katika kubadilisha maisha yake. Naomba mwenye hivyo vitu aniambie tu nitafuata nipigie kwa 0624007652 ALPHONCE KUSAGA