@radiomariatanzania: Picha mbalimbali zinamuonesha Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa`ichi OFMCap, akizika Masalia ya Mtakatifu Paulo wa Msalaba katika Altare ya Kanisa la Parokia ya Mtakatifu Toma wa Akwino, Kipunguni. Madhehebu hayo ya kuweka wakfu yalifanyika wakati wa Misa Takatifu iliyoadhimishwa Parokiani hapo Jumapili, Julai 12, 2026, na kuhudhuriwa na waamini wengi pamoja na viongozi mbalimbali wa Kanisa, akiwemo Padre Vincent Lawrence Mpwaji, Askofu Msaidizi Mteule wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Wakuu wa Mashirika ya Kitawa, Mapadre, Masista na Waamini kutoka ndani na nje ya Parokia hiyo. www.radiomaria.co.tz #RadioMariaTz

Radio Maria Tanzania
Radio Maria Tanzania
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 16 July 2026 09:38:05 GMT
9946
721
5
5

Music

Download

Comments

yonathanimakeka
Yonathan :
Wooooooow Mungu mkuu ahimidiwe kwakuwa Tunabarikiwa na maombezi ya Mtakatifu Paulo Wa Msalaba
2026-07-16 16:46:36
0
charlesi.wa.moshi
Charlesi wa Moshi :
ameni
2026-07-16 15:47:09
0
user9506955127108
user9506955127108 :
🥰🥰🥰
2026-07-16 16:36:13
0
user2508633012526
dotto nyakato :
🙏
2026-07-16 20:10:04
0
To see more videos from user @radiomariatanzania, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About