@divathebawse: Ujumbe Wangu Kuhusu Bella Niko kazini na ninaendelea kufanya wajibu wangu wa uandishi wa habari. Siogopi suala lolote, kwani ninaamini nilichofanya kilikuwa ndani ya misingi ya taaluma. Iwapo unaona kuna sababu ya kwenda mahakamani, uko huru kufanya hivyo hata leo. Mahojiano yetu yalirekodiwa na nimeyachapisha kwa uwazi bila kuficha chochote. Kile kilichopo ni mazungumzo yako mwenyewe, hivyo ukweli utaendelea kujieleza. Na kama changamoto ni gharama za usafiri wa kwenda mahakamani, hata nauli ya Bolt nipo tayari kukutumia. Sina hofu na niko tayari kwa mchakato wowote wa kisheria.
Divathebawse
Region: TZ
Thursday 16 July 2026 09:54:16 GMT
Music
Download
Comments
lion photographer :
Diva Diva naomba ninunue soda tuh japo unauwezo wa kujinunuliwa
2026-07-16 10:32:38
67
Faiza Ali :
Tunasubiria posti ya Cheti cha ndoa dada
2026-07-16 15:28:43
65
bimzuri :
yule hamnazo tu!
2026-07-16 11:34:16
29
RAMINGO STORE :
Diva Bella niwahuki kwetu burundi minalijua saana hilooo li dada
2026-07-16 17:40:28
18
Pudaman :
Subiri kusifiwa basi mwanetu
2026-07-16 15:19:46
11
ASHDACHA TZ :
ila we mdada ni mzuli sana
2026-07-16 10:23:15
8
ussain_1 :
you are very intelligent..God will bless you for uplifting Sheikh Walids dignity
2026-07-16 19:40:04
9
Nataria Devid :
wew dada napenda unavojiamini japo kuna mda watu wanakujia juu endlea
2026-07-17 04:04:41
4
Mr. Noname🙅♂️--- :
nimeenda kupima DNA serekalini nikaambiwa hakuna mtoto ambaye hana wazazi😳🥺
2026-07-17 06:55:54
8
❤️🥀🤍 :
Hatakama awemwanawe hawezi kumzalilisha sheikh wetu
2026-07-16 18:39:24
12
#Bin$uleiman og :
umeongea kweli diva
2026-07-16 10:29:03
7
Rukiya ahmed :
asante dada mungu akubariki🥰🥰🥰
2026-07-17 11:54:10
1
Zay_Beauty_zone :
ila diva mzuri jamani
2026-07-16 13:01:58
8
Yosefu :
Naona watakatifu ni wengi.
2026-07-16 23:28:31
2
Asma Disney 💞 :
kwa kweli mungu atakujaalie diva mashallah
2026-07-16 16:12:50
5
Triple A🤍 :
Hongera Diva😘
2026-07-17 08:16:37
2
Nasra Hamza :
nakupenda bureee🥰
2026-07-17 14:33:05
1
hamadisalum🇹🇿 :
kweli kweli
2026-07-16 19:22:00
0
minaachocolate :
Nimependa ulivofanya Divaa
2026-07-16 12:46:46
11
Kimnanah🤗 :
Kwa hili mama umeweza nimefurahi sana👏👏
2026-07-17 13:39:31
3
maalim dunia :
Ila Kuna cha kujuliza mim naona
2026-07-16 13:29:03
1
RANIYA💞 :
dada asante
2026-07-16 18:18:06
3
MJIU WA T.A.TZ :
Assalaamu alaykum, Dada Diva nimekupenda kwaajili ya Allah kwa jitihadazako juu ya kumtetea SHEKHE kwa ushahidi wa wazi🙏
2026-07-17 11:40:57
3
Bimkali :
Aaahhh bwana Diva nimekupendaaa,umem bana vizuri😂 mburudi anakutisha mtanzania,hii ni maajabu😂😂😂
2026-07-16 23:10:07
4
Recho Goda :
nakukubali nami nilisema yaani yy mgeni anatishia wenyeji mtihani sana
2026-07-17 12:50:15
2
To see more videos from user @divathebawse, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.