@miladu_tv: TAHAFE: Shirikisho linalosimamia na kuratibu taasisi zinazohusika na safari za Hija na Umrah nchini limetoa orodha ya majina ya Taasisi yenye dhamana na ruhusa ya kusafirisha watu Hijja na kuepukana na matapeli. -----Naibu Katibu wa TAHAFE, Sheikh Muhammad Ali Mshangama #MiladuUpdates #miladutv #babdeoMiladu