Hi dokta lab person hapa, pia typhodi inaphase mbili ,phase ya tumboni ambayo it might not be ditected in blood culture,then after few days typhod ndio wanaingia kwenye blood circulation hapo blood culture ndio inaeza kuleta positive growth,so we recommend dokta you request all three test salmonella stool antigen ,Widal test ,blood culture if no typhod history, na kama aliwahi kupata zamani ondoa Widal test na perform hizo mbili stool antigen na blood culture.
2026-07-16 23:08:31
31
DR MAKANGA :
ndo maana NHIF hawalipi widal test😅😅
2026-07-16 19:06:16
27
divinecosmetics_tz :
daktari kwenye widal test tunacheki antibodies against izi 2 antigens H na O
O maranyingi ina rise mapema sana in course of infection ya tyhoid na hii inakuonyesha that there is active infections
na H maranyingi ina raise later na pia it can stay long time elevated
kwa hio sasa ikukuta titre dilution ya O ime rise sana above normal that's active Tyhoid infections
wakati H not necessarily active unless iwe ime raise sana na ukipima hii ndio mda mwingi unaikuta iko juu
so kipimo ni very useful , shule tu ndio changamoto mtaalamu
2026-07-17 10:43:26
8
Lab tech: Kingilike Junior :
Zipo rapid test zinazopima antigen...!! sample inayotumika ni stool
2026-07-16 15:13:50
12
Stay Health Yugen :
We have Salmonella typhii antigen test Now I prefer medical personnel tutumie hiki.
2026-07-16 18:44:15
4
Kuchao_255 🇹🇿🫶 :
vipi ukitumia extended widal test
2026-07-16 14:53:16
11
Kadu :
how about h- pylori?
2026-07-18 06:11:34
1
Eutroph🥰 :
salmonella shigella antigen test ipo unatumia stool na inatumika kwa sasa mbadala wa widal test japo changamoto ni ngum kupata positive na mtu ana dalili zote za typhoid
2026-07-16 19:27:13
6
 :
KWANZA HATA STG INABD IBADILISHWE MICROBIAL RESTISTANCE KAMA YOTE SAHV
2026-07-16 16:56:25
2
Baflo :
gold standard afanye stool c/s
2026-07-17 03:16:18
6
kim_spatan :
unasuggest alternative gani
2026-07-16 14:42:45
1
Jaiden :
Utampaje dawa ya typhoid kama Hana ugonjwa wowote katika vipimo vyako kisa tu Unaona dalili zinafanana na za typhoid. In case of culture ikawa NPI( non pathogen isolated) uoni utakuwa umempa dawa isiyo sahihi kwa ugonjwa wake na pengine akapata madhara katika hile dawa ulompa ??
2026-07-16 15:51:15
1
Gx :
Dr unaona yaani Ni Bora MTU asipime Kwasabu ambazo umezitaja Ila ameze Antibiotics bila Kua sure ana Io infection 😄😄😄😄😄 in short Ni vizuri ungedili Na Taaluma yako au ahakikishe unafanya research nakuja Na update kabla yakuja kupotosha hapa
zipo test nyingi zinatumia Antibodies Na bado ukiendelea kupima inakua positive ,Sasa we should dump test Kwasababu inaendelea Kua positive
Na research ipi ulifanya ukapata majibu Kua katika watu wanaopimwa Widal test majority Ni positive Na Sio Negative
Kwa wanaopima nimashaidi negative ilikua kubwa Kuliko Positive
Nakubali culture Ni gold standard Ila Je Tanzania Ni facility ngapi zinafanya culture au unaongelea Dar mkubwa !!!!Sasa Hivi Kuna Rapid test inapimwa Ila bado inaitwa Widal huez mwambia mtanzania nakupima Salmonella
2026-07-17 09:49:29
0
Dr Luckyaroma ❤️🌹❤️ :
Hii imenisaidia leo nimeelewa
2026-07-16 17:01:19
8
Mr Program 2024 :
Upo sahihi
2026-07-17 05:57:30
1
Dr TLC4ever :
naona WENGI mnasema BIMA hailipi 😁😁
BIMA ndio kina Nani
HAO bima wakiamka Leo Kesho,,Wana lingine🙌🙌
2026-07-17 05:29:38
1
Tumadonald🌸 :
kwakweli hi widal test sio poa,lakin hataivo wizara ilishakataza kutumia hiki kipimo,though bado zinatumika baadhi ya maeneo.madaktari wengi wanapenda sana ku order widal test.unakuta client history inaonyesha client katumia dawa miez mitatu ilopita.lakin akipima tena lazima tu ita react kwasabu Ab zinabaki mwilin mda mrefu.skuiz kuna Ag rapid test ndo tunazitumia
2026-07-16 18:50:08
0
Jaiden :
False negative how ???
2026-07-16 15:52:41
1
Gee :
Dr kindly talk about Metronidazole to pregnant women, especially 1st trimester
2026-07-17 08:00:02
2
Doctor's corner 🥼🩺 :
ni kweli kabisa, shida ni Client kukubaliana na hiyo Culture 🙌🏾🙌🏾
2026-07-16 16:41:51
1
Amedeus Masawe :
How false negative Doc??🙏
2026-07-16 14:57:23
1
Young Kasawalah🥼 :
True, ndio maana serikali walipiga marufuku kutumia widat test, now days hutumika Blood culture.
2026-07-16 14:47:04
2
mkodhiambo :
💯 correct
2026-07-16 16:09:18
1
hersmile :
Widal test imeshatolewa kwenye hospitali nyingi hata kuna baadhi ya bima hailipi hicho kipimo
2026-07-16 15:42:56
2
Yusuph Kakete :
vp kuhusu MRDT yenyewe sio antibody and antigen reaction
2026-07-17 08:12:02
0
To see more videos from user @doctornoel, please go to the Tikwm
homepage.