@kiswahilitvonline: Lamine Yamal kwasasa ndio tegemezi la pekee lililobaki kwa Ishowspeed, akiamini kwamba Lamine tumaini lao la mwisho kama mashabiki wa Ronaldo baada ya Ureno kutolewa mapema katika mashindano ya Kombe la dunia. Ishowspeed akisisitiza kwamba endapo Argentina wakashinda, yeye kama shabiki wa Ronaldo hatakuwa na cha kujitetea wala cha kusema mbele ya mashabiki wa Messi.😓😓