@nyayotv: Kwenye Mpango ambao umesukwa na watu wanaowatakia mabaya masheikh, sheikh yusuf diwan anaweka wazi kwamba watu hao huwa tumia wanawake hasa wale ambao walikuwa ni wake wa masheikh kwa sababu watu hao wanawajua kiundani masheikh hivyo,wanaweza kufanya vitu vingi kwa ushaidi lengo tu waweze kutimiza nia zao ovu. Full video Tumekuwekea kwenye YouTube channel Ya NYAYO TV @Mnakole Emmanuel ✍️ Follow us 🙏 #fypシ゚viral #tiktoktanzania🇹🇿 #creatorsearchinsight #fyp #tiktokkenya

NYAYO TV
NYAYO TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 16 July 2026 20:19:32 GMT
4780
242
27
6

Music

Download

Comments

rahimabaskiobya
Eng_Kiobya :
badilisha kauli, .likuwa mnazini nao siyo wake zenu
2026-07-16 21:29:23
4
nyabinge5
nyabinge :
uongo huo
2026-07-17 06:52:20
2
ghostwizard3
Ghost{ff}max :
kweli sisi wenyew tunaswali na tunazini akuna aliye msafi
2026-07-17 08:33:12
0
hancyfation
hancy :
bakwata mrudisheni sheh walid ipo siku atafanyiwa mufti mkuu sijui itakuwaje sas
2026-07-17 11:00:02
2
major9945
Major :
Muft yeye pia yaweza kuwa na mapungufu mbele ya Allah subhana wataala🥰🙏
2026-07-17 04:40:07
2
mdoe096
mdoe :
uko sahihi shekh
2026-07-17 05:25:36
0
8j4lecende
8j4lecende :
kweli kabisaa
2026-07-17 17:21:12
0
shamra.jazira8
Shamra Jazira :
Kbx
2026-07-17 07:11:22
0
bellan_07
bellan_07 :
2026-07-17 04:34:26
0
user481682151
Salma :
kweli kabisa
2026-07-17 06:46:06
0
zquant6
ZQUANT :
ila watu wanaojinasibisha na dini wanatakiwa wajitahidi.
2026-07-17 12:13:39
0
mwalimu624
mwalimu :
jamani mimi nimeumia sana kwann shekh walidi aondolewe
2026-07-17 06:41:52
1
jafari.babayu
JAFARI BABAYU :
nikweli shekher
2026-07-17 07:18:04
0
fettykandukako
fettykandukako :
Kweli
2026-07-17 04:14:47
0
swalehahmad823
Swaleh Ahmad :
@Swaleh Ahmad:Surat An-Nūr (24:11–19) – Tafsiri ya Kiswahili 11. Hakika wale walioleta uzushi huo ni kundi miongoni mwenu. Msiudhanie kuwa ni shari kwenu; bali ni kheri kwenu. Kila mmoja wao atapata aliyoyachuma katika dhambi, na yule aliyechukua sehemu kubwa ya kueneza uzushi huo atapata adhabu kubwa. 12. Mbona mliposikia habari hiyo, Waumini wanaume na Waumini wanawake hawakuwadhania wenzao mema, na wakasema: “Huu ni uzushi ulio wazi.” 13. Mbona hawakuleta mashahidi wanne kuthibitisha madai yao? Na kwa kuwa hawakuleta mashahidi hao, basi mbele ya Mwenyezi Mungu hao ndio waongo. 14. Na lau si fadhila za Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema Zake duniani na Akhera, bila shaka ingaliwapata adhabu kubwa kwa yale mliyoyazungumza. 15. Mlipoanza kuupokezana uzushi huo kwa ndimi zenu, na mkasema kwa vinywa vyenu mambo ambayo hamkuwa na elimu nayo, mkidhani ni jambo jepesi, kumbe mbele ya Mwenyezi Mungu ni jambo kubwa. 16. Na mbona mliposikia habari hiyo hamkusema: “Haitufalii sisi kusema jambo kama hili. Utukufu ni Wako, ewe Mwenyezi Mungu! Huu ni uzushi mkubwa.” 17. Mwenyezi Mungu anawausia msirudie kamwe kufanya mfano wa jambo hili, ikiwa nyinyi ni Waumini. 18. Na Mwenyezi Mungu anawabainishia Aya Zake, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi, Mwenye Hikima. 19. Hakika wale wanaopenda kuenea kwa mambo machafu miongoni mwa walioamini watapata adhabu chungu duniani na Akhera. Na Mwenyezi Mungu Anajua, nanyi hamjui.
2026-07-17 08:43:54
0
redblina
Reydebabrahma :
"Ni kwa sababu ya Heshima na Utii ambao Waislam tumefundishwa katika vitabu vyetu Takatifu kuheshimu maamuzi ya viongozi wetu ndio maana Tuko kimya …. Lakini sauti za ukimya zinazolia kwenye mioyo ya Waislam wengi kwa sasa hivi .. Hatujaridhika na Maamuzi yaliofanywa na Bakwata Allahu Yaalam .. Wakati Utaongea🙏🏼"
2026-07-17 07:57:32
0
To see more videos from user @nyayotv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About