huyu shehe ana kitu, mbona watu wanamsemea sana yeye mwenyewe hajisemei
2026-07-17 03:57:27
30
Deba Mkindu :
nikwer
2026-07-17 05:07:37
0
Imam Athumani :
huenda bakwata wako sahihi ila mm naona wamekuwa na haraka mno subra iko wapi?
2026-07-17 04:44:12
10
user2394693746344 :
mm nimeumia sana ni catholic lkn hyu Waleed niliiuwa namuelewa
2026-07-17 03:20:27
13
Uliweswee :
sasa kwann maadui wa Sheikh Walid wasiumie ona mpak watu ambao sio waislam bado wamuumia
2026-07-17 06:17:13
3
dishonbazila :
Mm mwenyewe ni mkiristo lakini huyu shehe nimeumia kwa kutenguliwa kwake ana hekima sana
2026-07-17 04:35:19
7
gtz :
Viongozi wa kikristo kujihusisha na hii issue ya Shekhe Walid...
NI UPENDO AU KUDAKIA MAMBO YA WENGINE???
2026-07-17 03:43:08
1
Dina Makato :
Sh.Walid elimu yake anawarithisha watu wengi sana Duniani na tunafaidika nayo.tunamuelewa sana
2026-07-17 05:50:03
2
haji :
Aslam alaykum ombi langu shekh walidi asitoe neno lolote itoshe watu ndiye wasemaji wake ajizuie kabisa
2026-07-17 06:27:39
1
king sheby :
kweli kabisa 👌👌👌👌
2026-07-17 05:47:58
1
rakhy656 :
Hakika Allah azidi kukulinda Allah ndio mpangaji🙏🙏🙏
2026-07-17 05:52:50
2
Zuhura Masoud :
hata wakiristo wanamkubalu mashaallah
2026-07-17 04:24:49
8
Maajabu18 :
hapa umeongea sahihi sana
2026-07-17 05:11:25
2
Rayfact :
KWAKWELI.
2026-07-17 05:08:55
1
user95924441870245 :
mi ni mkristu but nimeumia.nilikua nafuatilia mafundisho yake
2026-07-17 04:04:52
1
Omary Msangule :
watu wote tumeumia ndio ujue uyo nimtu wawatu
2026-07-17 04:05:44
1
Rashid khalifa abdallah :
huyu mzee WA upako hua anaongea kweli kabisaaa
2026-07-16 22:45:46
2
Durak_ tz :
Elimu yenye manufaa ni urithi bora. Allah amlinde na ambariki Sheikh Waled.
2026-07-17 02:32:46
4
user600129974764 :
kabisa ume sema baba angu
2026-07-17 02:51:02
2
Jovent Mugisha Mushwaimi :
Naam bila shaka kabisaaa ni mtu sana
2026-07-17 04:52:14
1
user2740986578432 :
kweli kabisa tunaitaji awe shee mkuu kabisa
2026-07-17 02:35:01
2
mariam lily :
tuliambiwa tuwe wenye kusubiri,maana aliekamilika ni mungu peke yake tu na si mwanadamu
2026-07-17 05:17:45
1
Udnah :
kwel kabisa
2026-07-16 22:32:13
1
Me. :
subhanna llah mwenyezi Mungu amhifadh ubora wake unadhilisha na mwenyezi Mungu atampa taji lake na wanafiki watafaidika tu mimi naamini mwenyezi Mungu anataka kumpa daraja zaidi ya hilo na mwenyezi Mungu amempa mtihani ili awajuwe wazuri wake na wabaya wake lakini pia matunzo juu yake mwenyezi Mungu amuhifadhi shekhe ward dam ya mwenyezi Mungu hiyooo Tuseme woote Alhamdulillah salama
2026-07-17 05:04:34
1
To see more videos from user @simulizimedia2, please go to the Tikwm
homepage.