hapo huwezi kuona like nyingi, lakini uko sahii sana!
2026-07-17 07:07:35
66
Samstick :
Aina hii ya mafundisho haijengi amani kati ya watu wa dini na madhehebu tofauti kuna siku tutaingia katika machafuko kwa sababu ya aina hii ya mafundisho
2026-07-17 16:09:48
16
Ms cocu 🇹🇿🇭🇹 :
ivi inakuaje mtu ana enda kutubu kwenye kizimba ambacho alie kaa ndan yake ni binadamu kama wewe alafu una mwambia zambi zako zote alafu yy ndo ana kwambia kwamba umesamehewa wakati asameaye dhambi ni Mungu tu 🥺
2026-07-17 14:07:20
13
suzie :
natamani sana yaani sana kushiriki kanisa ya ufufuo na uzima,natamani kweli
2026-07-17 07:15:09
25
Ang3lX :
TUMSIFU YESU KRISTO WAKATORIKI WENZANGU
2026-07-18 12:29:33
12
nellyjay :
nakupenda kwasababu huwa unasema ukweli
2026-07-17 09:30:21
13
elicekaduma :
baba umepiga sana
2026-07-17 09:24:27
18
Rastaman :
I love the catholic Church! yeye hana papara wa hajishughulishi na visivyo vyake, ana utulivu.amepitia mapingamizi na vikwako vingi ana uzoefu,Ni moja takatifu la Mitume.
2026-07-17 12:03:56
11
chqz mirqcle :
upo sawa mchungaji Mungu azidi kukubaliki uweze kuisema ilo kweli.. Yesu ni Mungu100%
yohana 10:30
yohana 14:6