@robinhood_12: Daah bado hamjaona mengi 😂😂🙌#trendingvideo #mombasatiktokers #foryoupage #kenyantiktok🇰🇪 #robinhood_12

ROBINI
ROBINI
Open In TikTok:
Region: KE
Friday 17 July 2026 11:28:23 GMT
211907
7053
412
381

Music

Download

Comments

shangahi001
Shanghai trucking :
and you think it's funny
2026-07-19 07:35:58
2
user5814188117591
#jacob254 :
bytheway did they leave fighting,, or they they don't want us to watch live wrestling at home 😅😅😅😅😅😅
2026-07-19 06:21:07
1
user82500023690567
wanjau :
this is what we are going through
2026-07-18 21:19:43
0
minbenati88
minbenati88 :
I thank God sijawahi experience hii. In fact my dad Ata Kofi hajawahi peana kwa mom
2026-07-19 05:34:42
3
tairus.magero
Tairus Magero :
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣That is called TBT
2026-07-19 09:22:42
3
jlovelym
you can't find me :
I never experienced that, I've seen my mum being dramatic but dad never said a word or hit her,,, he just acts nonchalant 😂😂😂now I can't maintain a relationship coz I can't seem to find a guy like my dad, one who understands when I'm being dramatic and when I need assurance, one that doesn't threaten to dismantle my jaw if I'm in a bad mood and my words come out as rude, one who always provide, one soo gentle but his words are powerful, aai wacheni nikue tu single mother my dad set very high standards and I don't compromise
2026-07-19 19:18:15
3
222700w
🇰🇪YOUNG. MUM. NORAH🇰🇪 💕 :
nilikuwa na enjoy juu hakuna kuenda shule until turudi tena🤣🤣🤣
2026-07-18 15:35:07
176
user3742057704244
winnie K :
unanikumbusha mzee alifukuza mum alibaki akatupikia viazi sikiwa na maganda mtu alikuwa anatafuna akitema kama miwa🤣🤣🤣🤣
2026-07-18 22:35:54
96
davy71402
davy :
achana na iyo, mimi naenda lunch nafika milango yote na kifuli kisa na maana polisi wanatafuta busaa na changaa😭😭😭
2026-07-19 07:48:29
49
wilfrednyamwaka
fredz nym :
imagine kuna siku nililala kwa jirani siku 3 juu Mzee halifunga nyumba atakuenda shule ilikua noma tulikua tunaenda kwetu kama wezi🙆🤪🤪🤪🤪🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃
2026-07-18 19:01:02
53
sudy.khadija
sudy khadija :
😁😁😁kumbe maisha ya zamani yalikuwa yanafanana 🤣🤣
2026-07-18 17:16:47
49
stivo.wa.michira
stivo wa michira :
nakuambia Mim nlikuwa naenjoy kwenda kupanda gari 😂😂😂😂
2026-07-18 17:16:53
42
mama.bray2
Mama bray :
wangu. nilikuta. amefungwa kamba alafu baba kaenda kuywa pombe😂😂😂😂 nikamfungua nikamwambia ondoka kwenu uyu akija atakuua😭😭😭😭 yaana saiv kazeeka baba nikimuangaliga simmaliza😆😆😆😆😆
2026-07-19 16:32:16
15
melody61318
Melody 🎶💗 :
Mm ady tukikaa mwezi nilikua nauliza mum kwani mbn siku hizi hamupigani na dad?
2026-07-18 17:19:08
22
kipngetichngeno82
Kahuts :
heri hiyo nani hakuwai furahia kuwa msick ndio upande gari ...kioo za hiyo gari ikienda mti zinakimbia😂😂 badae unanunuliwa bread ya block united😁😁
2026-07-19 12:12:33
37
user95619207367874mish
Mishi Glory :
mmtoka nizaliwe sijaona wazazi wangu wakipigana wala kunichapa mm kiufupi sijai chapwa na wazazi wangu
2026-07-19 05:57:25
14
abinayochekwa
Tiger junior :
umenikumbusha mbli sana , sisi kuna wakati mathe alitoroka akaenda kwao tukabaki n mzee , unga ya chapo 2kgs mzae alipika chapo moja ulikua unaamka chini unakaa python imemeza ndama
2026-07-19 09:37:35
8
wishrabbit0
WishRabbit :
Wazazi waligombana, Mama akaondoka.Bas baba akawa anatupikia ugali mgumu kuliko jiwe na mboga inajaa chumvi kuliko mafuta
2026-07-19 23:07:39
6
ireneogolla719
Johnson's :
Aky wenye wameteremka kwa comments karibuni🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🤣🤣🤣🤣🤣
2026-07-19 06:49:12
6
eclipsegirlx
moonlitvibes :
alfu upate babako amepika Ile unga kubwa ya Chapo zikiwa tano😂
2026-07-17 11:38:33
17
www.priana
pili😻😻😻 :
dah umenikumbusha kitambo me mama angu alikuw anapigwa Hadi na majembe😫😫😫
2026-07-18 17:22:10
5
user932432566
🦚Lydia🦋 :
wah unanikumbusha mbali na iyo tabia ilipotea
2026-07-18 16:41:30
9
emmahwanja2
emmahwanja2 :
ziku hizi akuna vita kila mtu anajitegemea 🤣🤣🤣
2026-07-18 18:25:57
6
kipyegon68
barngetuny :
vile mathe alienda, mzae alikua anatupikia ugali na maziwa kama maji ya ugali isitoshe nyama tulikua tunakula daily ni kama mathe ndio alikua shida🤣
2026-07-19 13:03:45
7
lenoxiex
Lenox :
wueh ilikua mbaya....wetu aliondokea time ya xmas🥹sema kupepeta cabbage on 25,26,27,29,30,31 sijawai heal🥹
2026-07-17 19:32:49
5
To see more videos from user @robinhood_12, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About