@dunialeo_: Polisi wamefika katika Msikiti wa Kichangani kufuatia taarifa zilizoenea kuwa Sheikh Walid angeongoza au kushiriki Swala ya Ijumaa katika eneo hilo. Hatua hiyo imekuja wakati waumini wengi wakijitokeza msikitini tangu asubuhi kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa, huku wengine wakieleza kuwa walifika pia kufuatilia taarifa zilizokuwa zikisambaa kuhusu uwepo wa sheikh huyo.#dunialeoUPDATES
kwa kilicho tokea kwa shekh wetu kipenzi Walidi hapo ndio anapanda daraja angalia hali ilivyo watu wametaharuki kwa ajili ya shekh walidi watu tumeumia
2026-07-17 15:49:00
134
Ativan Khatib :
ningekwepooooooooo ahhhhhh ME SHEKH NAMKUBAL SAN
2026-07-17 21:30:30
0
venancemgosi :
: Tunao mtaka shekh warid arudi gonga like hapa 😍
2026-07-17 19:13:17
83
يؤ سف عالم :
shekhe walid ni Nuru inayotembea mioyoni mwetu
2026-07-17 17:19:42
44
official bint kaghuva :
sasa police ni wa kaz gan kwani tunaugomvi
2026-07-17 16:35:23
54
ukhty esmah :
Kuna watu wanabahat San Yan wanakubarik wakiwa hai wanazihirish wao ni watu wa watu kbl yakufa kwao duuuh ni Raha kias gani
2026-07-17 18:47:29
23
Gloranthy💦💟🩸 :
wasije tu wakamuuwa baba wa watu maana binadamu kwa visa
2026-07-17 17:20:42
10
user1630455546081 sada chuma :
mashaallah shekhe letu walid wallahi mung skype umri mrefu
2026-07-17 16:32:45
9
Saaada :
🤣🤣🤣😂🤣Hii ndy inchi yangu Subuana llah
2026-07-17 17:49:30
9
Yaumu Juma :
ishaanllaa utaludi kwenye kiti chako shee wetu maana ww ndo kinakufaa🙏🙏🙏