@acxram: ANZA CAR WASH YAKO YA KISASA KWA TSH 2.09M TU! Usisubiri mtaji mkubwa ndipo uanze biashara. Kwa TSH 2.09M unaweza kupata seti ya vifaa vya car wash inayokuwezesha kuanza kazi mara moja. ✅ Vifaa vya ubora wa juu ✅ Vinadumu na vinafanya kazi kwa ufanisi ✅ Vinafaa kwa wanaoanza na wanaotaka kupanua biashara Biashara ya car wash inaendelea kukua kila siku. Chukua hatua leo na uanze kujijengea kipato chako. #CarWash #CarWashBusiness #BiasharaTanzania #MtajiMdogo
TOOLS POINT DAR 🔧
Region: TZ
Friday 17 July 2026 14:41:31 GMT
Music
Download
Comments
edy :
we unaongelea mashine tu unajua thamani ya kiwanja unajua thamani ya daraja la kupandisha gari
2026-07-22 19:38:05
3
Mapaa :
mnatuchqnganya! video ileile lakn mwingine anasema milion moja na lak1 na huyu anasema milion mbili na eff tisini
2026-08-20 05:26:53
0
anko cheyo :
mashine ya alaiment na wheel balance,ya kuplesi bush na kuvua tair
2026-07-18 13:58:26
1
MBIKEBRAND :
Nzurii iyo
2026-08-15 07:36:21
0
asgher1980 :
uko wapi au na. yako ya simu
2026-08-05 09:39:15
0
baby su❤️ 😍 :
unavyoitaj iyo pesa sas kam sh 100 jmn
2026-08-22 08:05:21
0
Brand_Computer2023 :
nataka psi 4000 single phase...ipo ? bei ?
2026-08-01 05:24:42
0
mustafavuaimustafavuai1gmail.c :
munapatikan wapi
2026-08-24 12:05:15
0
user8338138380411 :
naomba namba
2026-07-30 05:49:39
0
Mdadisi :
Tuambie basi hata duka lako lipo wapi tutakuja.. upo Magomeni?
I lala? Karioakoo? au wapi?
2026-07-29 09:31:22
0
karoli :
namba ya simu naomba
2026-08-24 07:49:09
0
JOHN OGUNDE :
Naomba namba kaka
2026-07-17 15:25:59
0
Wacko Tz :
nakufatilia kaka tutakutana hapo
2026-07-28 08:13:21
0
juliusludete :
Ogopa sana watu wanaotangaza biashara hawatoi namba za simu wala hawataji zilipo ofisi zao! OGOPA KUTAPELIWA!
2026-07-29 15:33:50
0
ayaan cakes and tools :
tuwekee mchezo kilamwezi kila siku siwezi nataka najua uku natafuta eneo najenga uku nacheza nikimaliza navifanyangu nimepata
2026-08-06 16:09:22
0
user8338138380411 :
Mimi naitaji ndogo ya matumizi ya nyumbani nitapata
2026-07-30 05:49:03
0
Mdadisi :
Toa namba zako basi.
Kwa dunia ya leo ili uwasiliane kwa haraka, toa namba tu, umemaliza!!
2026-07-29 09:29:11
0
Isack Sakweli :
bro jibu dm
2026-08-25 05:15:26
0
Ramsonlutto :
namba yako kaka niko sirius
2026-07-19 05:57:06
0
user7330616849298 :
namba yako
2026-07-21 17:27:10
0
Hamis Hamis :
kaka nikiwa na hela nusu unaweza kunipa nyingine nikalipa kwa awamu?
2026-07-17 17:50:34
0
mst@ kunjele? :
nipe namba
2026-07-17 18:28:05
0
To see more videos from user @acxram, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.