@fcglimo: WORD CUP KUMBE NI MCHONGO SCRIPTED 😱🤯🫢

Fcglimo
Fcglimo
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 17 July 2026 14:52:40 GMT
75172
3712
194
318

Music

Download

Comments

novje003
Mr smile gamer🎮🎮 :
nikwambie umecopy wp🤣🤣🤣🤣🤣
2026-07-18 06:58:00
1
qucoutfit25_
QUC OUTFIT 👕👖 :
Mimi kwa maoni yangu hili jambo liko hivi haahdufkfgheodjfkefjfjsjfjfjsjfjfiffirdjdnxshshdjxjgjdjfjfjf kama yamal jahddifheidjfkeekekf
2026-07-18 09:06:15
8
ibrahtz80
Teenager :
season
2026-07-18 03:43:43
1
iconstore_edit
ICONSTORE_edit :
RIP THE SCRIPT
2026-07-18 10:32:31
1
mzawa.dac
mstaafu :
Ronaldo nae angejaribu kutafu mtoto apigenae picha au watoto wanamkataa?
2026-07-18 09:24:54
17
mwakifuna
itz_mende🪳 :
ko France waliiyachia Spain ili script ikamilike
2026-07-18 12:55:58
2
chady.mtb
CHADY MTB :
kwahiyo script ilianzia wakati messi anazaliwa mpaka lamine naye alipozaliwa kwamba wapishane miaka 20 wiki2 na siku 6 maana yake fifa waliongea na wazazi wa lamine kuhusu hilo. na pia inamaana fifa walisha mjua lamine kabla hajazaliwa si ndio
2026-07-18 00:16:43
19
key.stone732
key stone :
lonardo angekuja kupiga picha na mimi leo fainali ingekuwa kati ya 🇹🇿 tanzania na 🇵🇹 Portugal
2026-07-18 12:30:03
7
officialkuluthum6
Officialkuluthumu6 :
ila maover thinker 😁
2026-07-18 08:15:29
1
h4kiddy
Maddie_Crazy😎🤏 :
lengo ni MESSI kumrithisha LAMINE urithi
2026-07-18 13:38:58
3
zephaniahlock581
zlock :
Messi atamwachia yamal utukufu
2026-07-18 06:49:20
1
stuartally
Stuart Ally :
Game mpaka dakika ya 88 game itakuwa 1:1 Spain atajitahidi kushinda kwa mbinde sana Mark my word
2026-07-18 12:25:10
1
ibrahimumadeni93
#no_love no_stress#🖤💔 :
umeiga kwa comedian wa marekani
2026-07-18 08:42:43
1
mrdelivery17
Mr Delivery Kariakoo🇹🇿 :
usisahau na October 29
2026-07-18 11:19:37
3
mbepwapius
Madrid Sport club :
sema nilivo fuatilia nimejua gaalhaka usha hahahah sijajahha jsjsK hhsshs🤣🤣🤣🤣
2026-07-18 11:04:54
1
meck826
Meck :
Kama FIFA walipanga hii script tangu 2007, walijuaje kuwa huyu mtoto wa miezi mitano atakuwa na kipaji cha soka, atacheza kulia, atapenya academy ya La Masia, na kuchagua kuichezea timu ya taifa ya Uhispania badala ya Morocco au Equatorial Guinea (nchi za wazazi wake)? Je, FIFA sasa hivi wana uwezo wa kutabiri vinasaba (DNA) na hatari za majeraha ya mchezaji kwa miaka 20 ijayo?"
2026-07-18 05:26:38
7
nassirabdallah68
Mr T9 :
Mtalia sana🤣🤣🤣
2026-07-18 09:32:20
1
trill_ix5
TriLL_ix :
jamaaa FBI uyuu😅😅
2026-07-18 07:20:25
1
ispro.7
ispro 7 :
ninyi wa Madrid munaangaika
2026-07-18 11:37:59
1
asnath9555
asnath :
Ayo maswala ya kiroho
2026-07-18 05:50:32
2
josiahaledy
Josiah Aledy :
😄😄😃😃😁ndomaan imeshasemwa mpira ni dhambi
2026-07-18 07:45:17
1
prettysoul284
@silent.muse🌹 :
Wabongo sasa wasijue kitu
2026-07-18 05:39:01
1
h0332617
h :
kwaio fifa walijua yamal ata miaka 19 atakua mchezaji mzur inamaana wanaotoa vipaji vya wachezaji pia ni fifa kwaio fifa wanapanga mapka vipaji na maisha ya watu
2026-07-17 19:57:09
2
nancy.joel873
Cute nana🥰 :
Iko hivyii watu wanishi kwa spiritual
2026-07-18 08:01:21
2
To see more videos from user @fcglimo, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About