Sad reality ni kwamba Hajui anauwezo wa kuongea na kutoa hayo maoni kutokana na kusoma kwake. Elimu imemsadia ndio mana anaweza kuchambua.The problem is systeam failure na sio kusoma sana kwa mtu. mfumo mbovu wa elimu ndio chanzo na laana ya yeye kujilaumu kusoma. aende kwenye root causes.Miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru elimu ni unpredictable, changes kila siku na standardization watu wafaulu. Ukitaka kulibomoa taifa lolote chezea mfumo wa elimu, famila, histiria na Uongozi
2026-07-18 00:14:05
11
King S Rubota :
huyu ni miongoni mwa watu wenye AKILI KUBWA. kwa hiyo nikiwa Raisi mwaka 2030. kwenye program yangu ya
{TBBCP yaani Tanzania Big Brain Collection Program}. huyu nitamchukua. maana hapo nitakua na program ya kukusanya watu wenye AKILI KUBWA Tanzania. baada ya kuwakusanya ndo watakuja kuwa viongozi, coz Moja ya kitu kinachotukwamisha Tanzania kimaendeleo ni AKILI NDOGO kuongoza AKILI KUBWA.
zingatia neno "olee wako usipo-deliver"
nitakupa uwaziri maana unawaza kama Mimi!
2026-07-18 06:06:55
12
Bakunta :
Kenya huku tulibadilisha mfumo wa elimu, mnapaswa kuthubutu kama sisi
2026-07-18 17:00:09
1
KJJ :
Ungeshauri shule zote zifutwe si hazina maana why unashauri tena kuhusu elimu wakati wasiosoma ndo wenye mafanikio.
2026-07-18 03:51:05
1
Nicole Ivona :
baba nilipoteza mawasiliano ya wasaidizi wako,napataje uduma ako naitaji kuwepo kanisani
2026-07-18 02:46:22
1
King Wens👑 :
watoto wengi wanataka kuwa doctor na rubani
2026-07-18 18:12:42
2
G hustler :
Bro nakufatilia sana kwa fact unazo zitowa
2026-07-17 23:07:44
7
Juma Maneno official :
sahihi ✍️☝️
2026-07-18 18:26:56
2
itc immah_08 :
sema wew kiongozi
2026-07-18 07:44:39
2
user4804053149853 :
Nimependa sanaaa ushauri bora sana
2026-07-18 15:14:20
1
Denis Nyith :
uko sahihi sanaa baba
2026-07-18 08:06:51
2
bakari :
mimi ningepewa kipawa cha ushauri ningeishauli serikali ilete watalam wa kufundisha watoto wetu kuchakata madini sababu tunamadini mengi sana lkn hatuna watalam wengi wazawa, haipendezi Tanzanite ipatikane sana india mchanga uwende nje ya nchi tunamadini mengi sana nchi yetu, tusomee kuyachakata.
2026-07-18 06:49:02
1
MWALIMU WAWASUSITANZANIA :
mtumishia Africa tunashida
2026-07-18 03:54:46
3
user4088349293830 :
umeongea vizur dr
napenda mtoto wangu asome somo moja tu sheria toka darasa la kwanza
mpaka chuo
2026-07-18 05:22:42
0
TOM :
mimi pia hile video nimebidi niisave niwe naiview muda wote,umeongea kitu ambacho MUELEWA tu.ndio atakuelewa
2026-07-18 03:20:25
4
desire mlavumba :
point
2026-07-18 01:37:37
3
Bashiru :
nice 👍
2026-07-17 20:49:02
2
kadu834 :
jooni Kenya tumfunze watanzania
2026-07-18 03:20:48
2
To see more videos from user @prophet_richardmagenge, please go to the Tikwm
homepage.