@togolay24_tv: Shekhe Kipozeo amezungumzia uamuzi wa kumtengua Shekhe Walid katika nafasi ya Shekhe wa Mkoa wa Dar es Salaam, akisisitiza kuwa hatua hiyo haikufikiwa kwa haraka au kwa kukurupuka. Akizungumza kuhusu suala hilo, Shekhe Kipozeo amesema maamuzi hayo yalifanywa na viongozi wenye uelewa, uzoefu na mamlaka ya kutosha, baada ya kufuatilia kwa kina mwenendo na taarifa mbalimbali zilizohusika kabla ya kufikia hitimisho. Ameeleza kuwa taasisi za dini zina taratibu zake za ndani katika kufanya maamuzi makubwa kama hayo, hivyo wananchi wanapaswa kuheshimu mchakato uliotumika badala ya kutoa hukumu bila kuwa na taarifa kamili. Aidha, ametoa wito kwa waumini na jamii kwa ujumla kuendelea kudumisha utulivu, umoja na kuheshimu maamuzi yaliyotolewa, huku akisisitiza kuwa kila hatua ilichukuliwa kwa kuzingatia maslahi ya taasisi na kwa uchambuzi wa kina.
TOGOLAY24 TELEVISION
Region: TZ
Friday 17 July 2026 21:19:14 GMT
Music
Download
Comments
user600129974764 :
sisi atutak kusikia Chochote tuna mtaka yeye shekhe walidy
2026-07-18 04:31:43
6
mc :
BARAZA LA ULAMA BAKWATA ✍️NA BODY YA LIGI TFF ✍️Ni Vitengo Mahususi Vinavyo Vuruga Hizi Taasisi Mbili ✍️Wapo Kimaslahi Zaidi
2026-07-18 01:40:55
18
shukrani 912🇴🇲 🇹🇿 :
Ata kama ss atujal tutaka shekhe wetu arudishwe
2026-07-18 03:00:57
5
user3167403377723 :
hawana nizamuyoyote warudishe shekh walid
2026-07-18 03:30:38
2
Fatma :
sawa atujakataa kama hawajakulupuka basi mtujuze shida nn ili tuache tahaluki mtandaoni
2026-07-18 00:04:03
2
@sifa_designer :
Ukabila unawasumbua
2026-07-18 08:50:37
1
silah Looh :
acheni hizo tabia za hila kusoma cyo shida tunaombeni sababu mziweke wazi za kuengulia kwa walid
2026-07-18 05:09:38
2
Geofrey 2026 :
mashekh punguzeni maneno Kuna kesho haya yamepita maelezo ya mini tena
2026-07-18 03:50:28
0
abdulqadirkibassa :
TAHASISI YOYOTE ILE DUNIANI UKIWA MKWELI,MTU MWEMA MPENDA HAKI, KWISHA HABARI.
2026-07-18 06:17:15
4
Najma :
Tokenism banah atuwapendi
2026-07-18 05:59:26
3
Ibrahim Hji :
Ingekuwa waislamu wote walimchagua,wangekuwa na haki ya kulalamika lakini waliomchagua ndo wamemtoa
2026-07-19 05:47:16
2
ashamngwenda :
Turudishieni shehe wetu ht iweje atuwasikilizi
2026-07-18 13:51:10
2
kn13alt :
hata hao wabalaza nao ni binaadam mnamapungufu nq mnaupendeleo na mmekoseq.ndani ya nafsi zenu mnajua.
2026-07-18 06:26:36
1
Rajabu Bundala :
siasa zenu
2026-07-18 03:20:14
2
aijak899 :
ni sahihi kabisa
2026-07-18 05:02:38
1
MZEE WA RAHAA :
nilikuwa na kuelewa kwa hili Ckukubali
2026-07-18 06:34:51
0
ساهيم :
Kwani watu wakubwa hawakosei shekh
2026-07-18 09:13:23
1
Garmiller Ikunger🌹💞 :
watu wamekaa na haikua mihemko
2026-07-19 19:26:00
0
O.Kibuki :
kweli
2026-07-18 09:20:28
0
Suhayla :
tuwekane sawa km sote tunamuogopa M,mungu mnataka kuuwambia umma kuwa shekh Walid sio muadilifu? baada ya majibu haya maswali mengine yatafata
2026-07-18 11:14:27
0
mpemba_brand :
Moja wao nn
2026-07-18 17:37:46
0
mmojawapo :
siasa kila mahali
2026-07-19 20:08:23
0
damiani :
wako sahii
2026-07-18 12:18:38
0
kp.428 :
Tafuteni msemaji awe mmoja sasa kila mtu anasema anasema tumsikilize nani sasa
2026-07-18 13:33:18
0
Hishaam :
2026-07-18 04:25:55
0
To see more videos from user @togolay24_tv, please go to the Tikwm
homepage.