jamani namimi naota wananikimbiza wengi ila wakinikaribia napaa juu
2026-07-19 15:28:24
3
Zurrishbabe14 :
shukran sanaa
2026-07-19 12:29:50
0
mimamohamed :
shehe nashida na namba yako ya simu
2026-07-18 11:07:36
1
Glam by Mysah✨🌸 :
shekh MashaAllah leo katika kuangalia zangu kwasida nikaangalia kwa makini katika kaswida ya Mtume wetu hashimu nikajua kumbe ni wewe MashaAllah MashaAllah MashaAllah kaswida nzuri sana❤️
2026-07-18 14:52:03
4
Ummu Tasneem :
Mm naota ananikimbiza tu,
2026-07-18 08:39:15
2
supar women :
as/ykum ustadh naomba unijib swali lngu kuna sku niliota ndoto mama angu mzaz amekufa ilkua nalia cna kla nikiingia chumbn mwke namkumbuka nalia yaan kilio asa ad nimeshtuka usingizin bdo nalia na machoz nmeyakuta ad nimeogopa na mpak leo mama angu yupo hai alhamdulilah
2026-07-18 15:47:37
2
mishyDon❤🔐 :
Alhamdulilah
2026-07-19 21:47:28
0
MAMA MTAA :
mm niliota ng'ombe takriban ishirini wako malishon wanakula nyasi na wako na afya nzur
2026-07-19 19:49:29
0
glory :
niliota ngombe amekufa na mama yangu mdogo usiku huohuo amekuafa
2026-07-19 20:11:38
0
tiz520 :
me nilmeota nyumba yangu ni safi sana imezungirwa na mimea mizuri kulikua na mihogo mahindi mchicha na mkunde alaf kuna baridi nzuri ile yapepea vzury hii inaama gani
2026-07-19 19:49:49
0
Luna girl :
shukran shekh mungu akubark 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
2026-07-19 16:25:53
0
Mariam omary :
Alhamdulillah mm niliota n'gombe wananikimbiza wana mapembe makubwa Lakin walinikosa
2026-07-19 18:12:22
0
slowly99√ :
shekhe me niliota kulikuwa na ng,ombe wamekonda ghafla wakala wakanenep tafsir yakennn