Don't tell me I as a Chosen One I should not get married ama?
2026-07-18 14:32:54
0
Pendo Jackson :
na tunavyoyapenda hayo mapenzi🙌🙌
2026-07-18 13:12:17
2
Taurus ♉888 :
kwanini sasa sisi choose one huwa tukiingia kwa waganga hatufanikiwi na kwanini mimi nikiingia kwa mahusiano napata narcissist
2026-07-18 14:11:51
1
Diana Lugola :
mume wangu wa kwanza nilizaanae mtoto mmoja tu tukaachana na mm ndio sababu nikapata mume wa pili akaniangusha vby mno miaka 18 niliyoishi nae tukajenga nyumba 4 na akaniacha bila chochote nimepata mume wa tatu huyu ndio hata siwezi kueleza yn ni narcissist wa ajabu ndani ya mwaka mmoja tu nimeshindwa tumeachana... lkn yule wa kwanza ananipenda hata nikimwambia turudiane sasa hv anakubali nanimpole mno na ananisikiliza kwa kila kitu...! je naweza kurudiana nae naomba unijibu hili swali
2026-07-18 08:33:59
0
MWANA MCHOLI 🥰 :
kweli dada ndoa imenishinda kabisaa nipo singo Sasa jamani hizi hisia tunazitoa na nini wenzangu
2026-07-18 09:20:33
1
KIPEPEO FASHION :
DADA USIFIKE MBALI YAMENIKUTA MIMI..SINA HAMU 😔😔
2026-07-18 12:37:02
1
Rosemary Athuman :
Kusema kweli nimekuwa nikitamani kushi peke yangu tu yani sitaki kabisa mapenzi kwanza mapenzi yenyewe sina😂😂😂😂
2026-07-18 12:31:34
0
🧿Better ♒️ :
Nikweli
2026-07-18 11:20:24
0
Dkt. David Wisdom :
hii ni kweli kabisa tangu nimeoa tu maadui ndo waliweza kunichungulia mpaka nilipo upata ukweli wanamna ya kuishi kwenye hilo ila vita ya kutaka kuvunja ndoa ilikuwa kubwa
2026-07-18 10:24:24
0
martinjosiah :
ushasema sister ,nakukubali kabisa
2026-07-18 15:06:38
0
Queen🦂888🔮 :
dada naomba niurize kitu yesu ni mwana wa Mungu awo ni chosen one kama Muhammad naomba nijibu kwasababu wa Islamu wanasema kuwa Yesu ni mtumwa🙏🙏
2026-07-18 08:01:08
0
Angela Julius Nyakiti :
Nakupenda sana unatufundesha mafundesho saii
2026-07-18 16:30:41
0
Mahuya :
Amina sana ila samahani Nina swali kuhusu asili ya kuchija wanyama kama ilivyokuwa kwenye agano la kale mfano ibrahm sasa baadae ya yesu kuja duniani hiyo enzi iliisha je kwanini watu wanaochiji Huwa wanafanikiwa Ina maana gani? ingawa tushahama huko
2026-07-18 10:36:56
0
user9947560547269 :
Na ndio maana yesu alifikia zumuni lake lililomleta duniani, endapo kama angeoa pia asingeweza kumalza kilichomleta dunia🙏 nmekuelewa vzur sana leo dada
2026-07-18 15:42:15
0
Salum “Mac Sam” Shayo :
true my sister, yote unayosema yananihusu kabisa yaan