Baba alikua anatuachia nyama yake au samaki kilasiku ya chakula chenye nyama au samaki
2026-07-18 18:20:53
6
Sasha baby 💝 :
Kumbe wanaume kama wewe wapo daahh god bless you 😌
2026-07-18 17:14:38
12
FAVORITE GIRL 🦋 :
Nashukuru MUNGU baba etu akileta kitu lazima atuachie hata kam umetoka lazima aseme fulani muachieni hata kesho atakula😂😂
2026-07-18 14:51:59
18
skipNick :
Ubinafsiii tu
2026-07-18 12:10:08
11
N🇹🇷♥️ :
baba umezema kweli kabisa
2026-07-18 21:11:56
2
usercfx247 :
Umejenga nyumba, wanakula, wana vaa vizuri, ada unalipa, matibabu wanapata, unatoka giza unarudi giza, halafu wakuchukie kwa kula mahindi mawili; hao watakua sio familia ni adui zako.
2026-07-18 13:47:44
15
kanguru 🇦🇪 :
asante baba umenifundisha sijaoa Ila siku nitakapo oa nitafanya icho am from Burundi
2026-07-18 12:16:46
12
elizabethurio6 :
umenikosha sana brother 🥰
2026-07-18 11:32:46
12
SHAMBA KIDS ANIMATION :
nimecheka sana kaka 😂😂😂😂
2026-07-18 17:37:25
2
kipepeo1 :
zingatia Credit😁😁😁
2026-07-18 15:12:45
1
MOTIVATION SPEAKER :
haya kina baba. maana kila siku vijana
2026-07-18 13:31:23
5
songa#@🔥🔥 :
🤣🤣mm huyo kabisa
2026-07-18 14:43:05
1
Grace Toto :
kabisaa
2026-07-18 13:45:08
1
Celine ♑️🥰 :
Na niwambie wanaume jmn watoto wanaona unayowafanyia au unayomfanyia mama yao ko mama asipoingilia kati kuwakumbusha watt kwamb yule n baba yao wamuheshimu t basiii ndo kwaher watt watakuchukia mpk ukome mama ana role kubwa sana
2026-07-18 18:48:14
3
kim nah ACCESSORIES :
natafta mume kama huyu jamn niolewe kama huyu
2026-07-18 19:37:41
1
😡😡😡😡 :
no comment
2026-07-18 15:19:59
1
MOTIVATION SPEAKER :
@MOTIVATION SPEAKER:kila mtu apambane na family yake.. kuhusu tabia na Sheria , kila familia ina taratibu zake. familia zingine utaona aibu wewe.
2026-07-18 13:47:52
3
user5222919086975 :
Marehemu baba yangu alikuwa anahakikisha tunakula kwanza vizuri sisi yeye anakuwa wa mwisho .. hadi nyama za kuku alikuwa anauliza we unataka kipande gani anatugawia wote kinachobaki ambacho hatujachagua ndo anakula.. mwenyezi mungu amrehemu.
2026-07-18 20:11:24
2
To see more videos from user @momadini_, please go to the Tikwm
homepage.