Kwa kuongezea
SHEIKH WALID alikaa kijiweni Kwa miaka saba alipoondoka pale Kila mmoja anaswali swala Tano yote hiyo ni SUBRA
MUNGU ATAMLINDA KWA HILI NA LINGINE LILILOJIFICHA InshaAllah
2026-07-18 13:26:36
269
mariammpunga :
Nimeingia Uislam na alienisababisha nisimame imara ktk Uislamu wangu ni huyu Shekh na mafundisho yake, nilikuwa nafatilia mafundisho yake na mawaidha yake, nikayaahika kwa imani yangu ya Uislam, huyu Shekh sijawahi kutana nae ana kwa ana ila ninaushaidi wa mawaidha yake yaliyo niimarisha ktk dini yangu. Sitamani nirudi kule nikotoka nitabaki hapa kule kwa wazazi nitaenda na siwatengi isipokuwa kila mtu ana imani yake. M'Mungu aendelee kumtunza InshaAllah Shekh wetu
2026-07-18 13:05:24
181
fantana❤️ :
shehk walidi handsome boy 🥰
2026-07-18 15:25:52
65
cirmic :
I wish I can give you 100like
2026-07-19 10:19:26
5
TIMA🥰 :
Shida wanaumia sanaaa kuona kuwa sheikh waliid hazungumzi
ila wananchi ndo wanazungumza kwa niaba yake.
hii inaonesha dhaahir kuwa sheikh waliid ni mtu wa watu💯
2026-07-18 14:52:26
91
Hadija Mbikitu :
uko sahihi Sana dada yangu 👌👌👌
2026-07-18 12:06:17
111
mjrboy :
kwel kabisa hiyo bakwata ni matatizo matupu
2026-07-18 09:14:35
84
MOHAMED BAKSHI :
Swalla alla nabii
2026-07-18 12:43:36
71
user3011315983491 :
from kenya I love sheikh Walid 🥰
2026-07-19 11:03:32
3
Ayoub J :
Congratulations sister 💯
2026-07-18 09:19:22
7
Hhy.04 :
Umeongea kweli San mungu akulipe heri🤲🤲. na sheeikh ampesubra 🤲🤲🤲🥺🥺 Nakupend kwajili ya Allah 🥺🥺
2026-07-19 14:40:17
14
Mwalimu khamisi :
Mama maneno yako yamenitoa machozi, Allah aingilie Kati jambo hili
2026-07-18 11:05:25
74
Last Born 001 :
Nothing to say SALUTE
2026-07-18 15:33:11
6
usmaryam gadaaf :
Asante 🤝
2026-07-18 20:02:22
1
goodboy :
sister usijipige kifua sheikh walid ameteleza ni mwanadamu Allah amsamehe mapungufu yake na sisi pia Allah atusamehe maanake hakuna aliekamilika
2026-07-18 13:31:43
15
white mummy🦋 :
Allah akutangulie ukty didah,una hekmah sana
2026-07-18 09:46:30
27
Buraq :
Ndio maana nikasema kuna baadh ya mashekh ni wanafik na wa ovyo
2026-07-18 09:40:08
61
mwaah💋💋 :
dada una tumia soda gani plz
2026-07-19 08:56:06
14
Goldfree Abdulkadil mohamed :
Mimi ndiye Godwin amenitolea mfano hadi nimekuwa Muislam .Leo BAKWATA sielewi kabisa .nilikuwa mkristo Mimi Sheikh Kanivuta kwenye Uislam🥺🥺🥺🥺
2026-07-18 22:14:28
17
Naima Jumaboy :
Yaani I salute you sister 💯 well said Mashallah ushamaliza
2026-07-18 16:02:47
25
user7265009389357 :
kweli maneno yko dada @
2026-07-18 15:47:18
15
Amelia96 :
tumpendao sheikh Walid tuamke usiku kuswali salatul hajja kumuombea kwa Allah amfanyie wepesi na kumpa cheo zaidi Yao...
2026-07-18 17:57:45
42
Chi Babah :
Sheikhe WALID Anahekma San kuliko Viongozi Wote wa Bakwata Ndio WALID Moja Tena Hapo Nimwanafunzi wa WALID
2026-07-18 12:51:57
23
betterhelthvibe :
WAPO KIMASLAHI NA KISIASA SANA PALE NASIO KIMAADILI YA UONGOZ MUNGU AWANUSURU WALO HUSIKA
2026-07-18 13:58:27
13
To see more videos from user @ukhtydidas27, please go to the Tikwm
homepage.