Tutazidi kupenda mpaka milele cc na wald wald na cc mpaka kiama.
2026-07-19 04:41:31
36
Akim112001 :
Kuna tafauti ya mapenzi na haki ndugu,mapenzi bila kutendeana haki sio dini.
2026-07-19 07:41:30
12
KHAMIS ALI :
Na huyo Shekhe anamchukia SH. WALIDI ,Kwa ajili ya nani?
2026-07-19 04:56:45
9
ruby :
tunampenda kwa ajili ya Allah
2026-07-18 19:33:10
15
Manha_Collection_Zanzibar :
Sheikh Walid kuna darsa yake moja alisema zitafika zama uongo utapewa kipaombele na ukweli utawekwa nyuma ....maneno kama hayo kama siko sahihi mtaniweka sawa .....ndo hawa baadhi ya masheikh yaani kumpenda mtu kwa ajili ya Allah na dini hawataki, kwa kweli mtihani mkubwa saaaaana! mahasid wakubwa
2026-07-18 19:52:45
14
moodys :
TUNAMPENDA SANA. AWACHE HUSDA. WALIDI TUNAE NA TUNATAMBA NAE
2026-07-20 21:06:27
2
SWAIF SOUQ [ 0776564156 ] :
nashkuru kuna chekhe nimefurahi
2026-07-18 20:04:53
7
SEif ABdallah :
lkn tusípendane kwa maovu musipotoshe maneno ya mtume kwa ajili ya kulinda maovu.kama shehe amekosea anatakiwa atubie
2026-07-18 18:37:29
3
Maryam Johar Amani :
Tushachoka na haya maneno tuangalie mengine sio yy wakwanza
2026-07-18 18:14:45
2
Hasan hasan,🇹🇿🌱 :
sahihi shekh wangu💛
2026-07-19 13:21:06
6
khamed :
Ana hasadi na chuki binafsi huyo na dini haijui. Allah akulipe kheri sheikh kwa kumuelimisha.