@jukwaa.la.maarifa: Dkt Sheikh Abdulrazak Amir Amegusia Juu ya Wamama Ambao Wamekua Na Tabia za Kuwaambia Watoto Juu Ya Mabaya Kuhusu Baba Zao Sheikh Dkt Abdulrazak Amir Amewaasa Wamama Juu Ya Tabia Hizo za Sababu Mtu Ambaye Anapata Nyakati Ngumu Na Kuathirika Ni Mtoto Na Si Baba Wa Mtoto
action speak louder than words,, maneno ya mama ya kiendana na matendo ya baba chuki itaingia ,na kama maneno hayataendani na matendo ya baba mtoto huezi Jenga chuki ,, hta mama aseme vip
2026-07-19 09:28:51
2
who666669 :
sasakamakweli tufanyeje?
2026-07-19 06:45:16
1
AbdulrazakAmir :
Kama huwezi kumwambia mazur khs baba yake basi usimwambie mabaya
2026-07-19 07:18:19
2
busy :
true
2026-07-19 03:50:33
1
soja :
waambie
2026-07-19 08:43:06
0
DMS :
Umeongea jambo zuri saana Allau akuhifadhi
2026-07-19 07:05:46
1
ksaid :
💯
2026-07-19 14:38:51
0
Raiyan :
kweli
2026-07-19 19:32:09
0
user29908259724084 :
sio kweli kwani watoto ni vipofu wanaona matendo ya baba zao na baba wengne hawana muda na watoto kwahyo sumu itategemea matendo ya baba huwez kuwa baba bure hlf mtoto akuone baba bora msitusingizie
2026-07-19 17:20:27
0
Sakina Ndosho :
Mmmh
2026-07-19 18:54:15
0
ZaituniAthuman :
Kuna watoto wengine unawaficha lakini wanaangalia sura wanamwambia hapa hapako sawa
2026-07-19 19:07:54
0
sadikimnkande :
watoto wetu haswa wakiume wanajazwa maneno namama ila baba hatangazi ubaya wa mkewe
2026-07-19 18:17:18
0
angelinejulius :
hapo si sawa watoto wanaona na kama
2026-07-19 15:52:04
0
⚘️🌺Ummul kheir🌺⚘️ :
hawaambiwi wanaona wenyewe
2026-07-19 14:32:50
0
Tillion nana :
Sahihi kabisa 👏👏👏👏👏👏
2026-07-19 14:30:57
0
ZaituniAthuman :
wwajue maana so vzuri
2026-07-19 19:06:55
0
bashiri h malaga :
kweli kabisaa shekher wngu 🙏🙏
2026-07-19 07:57:26
0
MZEE WA RAHAA :
swadakta maalim
2026-07-19 07:49:18
0
khadijasuleshy💋 :
kuna wanaumee piaaa wanafanyaaa hayooooo tena san
2026-07-19 19:44:30
0
Rayuna Rayuna❤️ :
Watoto wanakua wanajua kilakitu
2026-07-19 13:45:13
0
Rayuna Rayuna❤️ :
Kama baba kawatelekeza watoto tokea wadogo wala hawaulizii inakuaje
2026-07-19 13:44:56
0
Rita.Rita💃 :
nabado mbona sheeee
2026-07-19 09:41:17
0
Said Nairobi :
naam sheikh waeleze wabadilike tabia hiyo huchangia haki ya watoto kupotea
2026-07-18 20:29:09
1
To see more videos from user @jukwaa.la.maarifa, please go to the Tikwm
homepage.