@iran_attack: Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC,limetoa tangazo la kuwatka raia na watumishi wa viwanja vya ndege vya Dubai na Abu Dhabi waondoke kwani ni malengo yanayofata ikiwa Marekani ataishambulia Iran kutokea saaa. Vile IRGC limesema bandari ya Fujairah na Jebel Ali zijiandae pia. leo Julai 18,2026.
Uislam hauruhusu kuua nafsi ila kwa haki na ndio maana Iran inatoa taarifa ili raia wasidhurike lakini Marekani yeye hatoi taarifa yeye anaua tu bila kujali ni askari au raia wa kawaida yeye hataki kujua.
2026-07-19 10:44:16
34
bibiee085 🤭 :
iran 🇮🇷 kama bunge la Tanzania taarifa muheshimiwa Taarifa Taarifa 😂
2026-07-19 08:00:39
27
RAPHAEL Mahenge :
ogopa mtu anaekupa taarifa mapema haijalishi utajipanga vipii
2026-07-19 06:59:39
23
Naa :
ila kwani Iran hampigi marekan anapika nchi zingine sasa
2026-07-19 07:03:57
7
jovaness4 :
Mimi siondoki hata iweje UAE 🇦🇪 my second home,with God we trust 🙏 🙌
2026-07-19 10:15:45
6
Mwabilla jr :
Nchi za Gulf zinajitafutia matatizo kutokana na kuwakumbatia wamarekani na wasipokuwa makini wataangamia kweli.
2026-07-19 07:08:52
18
Mohammed Abeid :
duuh Iran subirini jamani huko kuna familia zetu waliokwenda kutafuta maisha hii kauli cjui itakuaje maana duuh ni wengi Sana huko
2026-07-19 05:51:03
11
Emily Nyigu :
unajua watanzania walio wengi hawana mawazo ya mbali hivi kwamfano marekani akija kwako sahz akwambie anataka aweke mnala wa simu nyumbani kwako wewe utakataa maana naona mnasema nani aliwambia wakubali kambi iwekwe kwao wewe ungeweza kukataa ?
2026-07-19 18:32:03
2
Sultan Hamad :
yani marekani amefanikiwa kuwachonganisha waarabu wenyewe kwa wenyewe Trump ni mtu mshezi sana kwakweli 😭
2026-07-19 22:11:16
1
simbakinenaabocho :
mbona hapigi marekani mwenyewe
2026-07-19 09:22:06
1
Dervish Baba :
Marekani ikitaka kupiga haitoi taarifa inapiga tu ila iran munafeli sana
2026-07-19 07:28:46
7
seif suleiman :
kwanini wasishambulie marekanu direct?
2026-07-19 14:49:05
1
MSAKATI PRINTING SOLUTION :
bora ugali na furu kuliko vita
2026-07-19 10:40:18
0
Christopher Hezron :
kwani marekani anampiga iran kutokea wapi?
2026-07-19 04:15:26
4
waheed wageeq :
jaman watoto wetu
2026-07-19 08:40:15
4
Ammy tz :
marekani anaipiga Iran kutoka kweny bezi au kambi ambazo zipo kweny mataif hayo ndioman Muirani anapiga kambi izo ambazo zimezunguka mataifa hayo DUBAI , KATARI, SAUDI ARABIA NA ZENGINEZO
2026-07-19 07:22:02
4
Mama ney🇹🇿👉🇴🇲 :
jmn oman msiingie tu😭 na mkitaka kuingia mtupe taarifa mapema tulud makwetu😩😩😩
2026-07-19 16:23:41
0
boveta :
hatari iy
2026-07-19 14:51:41
1
Lee dee Boss✌️ :
🔥
2026-07-19 13:09:36
1
murb :
ili marekani amshambulie iran lazima apite kwa jirani so jirani kawa mnafiki kamsaliti iran majuto ni mjukuu na aliwambia mwanzo kuwa yeye hana shida na bahrain uae wala quwait wasije wakakubali kurubuniwa ba marekani wakae mbali sasa wameyatimba
2026-07-19 04:32:27
2
To see more videos from user @iran_attack, please go to the Tikwm
homepage.