@mjadalatv: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameibua mjadala baada ya kauli zake kuhusu kuendelea na kesi akiwa gerezani. Je, mahakama inaweza kuendesha au kumaliza shauri wakati mshtakiwa bado yuko mahabusu au gerezani? Katika video hil tunachambua kinachoendelea, hoja zinazotolewa na pande mbalimbali, na maana yake kwa mchakato wa sheria. Unalionaje suala hili? Toa maoni yako kwa heshima kwenye sehemu ya maoni. #MjadalaTV #Habari #Tanzania #Mahakama #Sheria

Mjadala tv
Mjadala tv
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 19 July 2026 07:04:37 GMT
53425
1634
22
62

Music

Download

Comments

frankrindagi
Frank Rindagi :
risu Anaeleza kwa uchungu sn lkn sawa
2026-07-19 15:43:21
4
joshua.filex
Joshua Filex :
Aliyekuwa Mwenyekiti au Mwenyekiti wa Chadema
2026-07-20 04:06:39
2
rajkoli484
james :
lazima hali itendeke kwa kila mtanzania nchi haina amani kwa sasa hii serekali haramu invoke madarakani
2026-07-20 14:33:36
0
edwardpondo
Edward :
Lisu si TU kwamba mwenyekiti wa chadema bali ni mwenyekiti wa taifa letu nchi yetu linamhitaji mtu kama lisu
2026-07-20 08:18:38
1
power.belong.to.go
Deborah :
Aliyemshtaki Lisu kuwa muhaini ndiye Mwenye serikali, Anataka Lisu atoke hapo kwa masharti kwa maslahi yake binafsi, Lakini sheria hii inayotumika kwa Lisu ingekuwa kwa jamaa zake hii kesi ingekuwa imeisha, Lisu ni binadamu anastahili haki kama binadamu mwingine,Najaribu kujifikirisha hivi hao wanaomshikilia Lisu leo nakuendelea kumshilia ingekuwa ndo wao ingekuwaje? Sisemi Mtu ajifanyie chochote kuvunja sheria Kwanini viongozi na wengine walio na watu wao huko hutenda makosa na huficha au serikali hupotezea na sheria iko wazi kawasaki hawa watu,Imagine kusema Lisu ni kama kafara ambayo imetolewa kwa faida ya mtu au kundi la watu na wakimwachia kafara yao imeharibika
2026-07-20 13:46:51
0
alexmwanuzi
weka alama!!!!!!!!!! mr :
dsh
2026-07-20 13:06:44
1
josephjohnpaul6
TUSA :
Tz tungefuata sheria tulizojiwekea na uwajibikaji tungekua mbali sana
2026-07-20 10:01:47
1
mendez.furniture
Mendez furniture :
Lissu ni mwenyekit sio aliyekua
2026-07-20 06:20:40
1
meckgodfrey
meckgodfrey :
mwalimu wa sheria na wanafunzi wake free tundulisu
2026-07-20 12:06:16
0
raphae522
RAPHAEL JOSEPH🇿🇦🇿🇦🇿🇦 :
alye kuwa kwani saiv ni nan?
2026-07-19 17:10:18
1
king.tz53
Kijana Kiziwi :
MEDIA UCHWARA HIZI
2026-07-20 11:59:26
0
shukuru4312
shukuru :
wafundishe shelia hao
2026-07-19 15:12:33
1
alifurniture12
Alifurniture :
sio aliyekuwa bado ni mwenyikiti nyie waandishi
2026-07-19 14:18:02
1
mtenajohn
John Mtena :
mahakaman au maabusu sio sehem ya hako
2026-07-19 10:02:14
1
user4542346785866
dorcas :
yaani huwa nasikia hasira vibaya mno mungu utendae miujiza na utende na kwa huyu ndugu yetu
2026-07-19 14:33:55
1
faustindavidfrancice
mgwaneza ndushabandi :
mwandishi acha dharau alie kuwa mwenye kiti sema mwenye kiti sio alie kuwa umeambiwa kuna mwenye kiti mwingine na yeye 🫵🫵🫵🫵
2026-07-19 16:36:29
3
msanii_mfuniko
Msanii_mfuniko🇹🇿🤣 :
mwalimu washeria huyo
2026-07-19 20:19:32
1
baraq.lim.oo
Baraq Lim Oo :
ipo siku tu aliemuweka lisu gerezani kwa mashtaka ya ya uongo pia na yeye ataingia tu mahakamani hakuna kisichopita kwenye hii dunia 😭😭
2026-07-20 03:29:54
0
fimbo773
""The Matthew Jr"" :
Mandela alikuwa wa Watu weusi wa Afrika Kusini,huyu Mandela wa watu gani....!?
2026-07-20 13:53:43
0
user3093272698193
SIBU NDEMBE :
🤐🤐🤐🤐🤐😭😭😭😭😭
2026-07-19 16:18:11
2
To see more videos from user @mjadalatv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About