@gseven.mwasomola:

Gseven Mwasomola
Gseven Mwasomola
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 19 July 2026 07:47:04 GMT
19597
492
309
48

Music

Download

Comments

davidimaet01245
APOSTLE DAVID OTWANE IMAET :
sasa hii ndio,,theology sio spirituality
2026-07-19 21:56:12
6
ezra5854
Ezra :
kama unaamini tumepigwa ngonga like hapa
2026-07-19 19:31:35
67
pastor.baraka.mde
Pastor Baraka Mdem :
Uongo
2026-09-02 16:43:20
0
louizps01
Ev 𝐋𝐨𝐮𝐢s Djoshuan :
mchungaji,hii tumeikataa tusameh sana
2026-07-20 06:25:24
14
pastoralexjeremiah0
Pastor AJ :
Hii ni hatari sana aise , au mimi ndo sijaelewa
2026-07-19 18:47:42
4
pastor_nicolaus_nyella
PASTOR NICOLAUS NYELLA :
Daa mtumishi hapo unapotosha kabisa, hiyo ni tafsiri potofu ya maandiko. Halafu baada ya lucifer kuasi kule mbinguni pamoja na wale malaika waliopotoka naye. Mungu hajaacha nafasi yoyote ya malaika watakatifu kukosea, wala hajatoa nafasi yoyote ya mapepo kutubu
2026-07-19 18:49:19
7
nehemiahedward01
Nehemiah Edward :
tupe maandiko yanayothibitisha maneno yako!! vinginevyo unaongea propaganda tu
2026-09-08 07:32:43
0
power.of.god13
MWL JAMES MLULA :
MAZARA YA KUSOMA THIOLOJIA NDIO HIYO KWASABABU ANACHO KIFUNDISHWA NDIO CHA DARASANI HILA AYUPO ROHONI SO WAPENDWA HAKIKISHA UNAWITO WA KUFANYA KAZI YA MUNGU SIO ELIMU YA THIOLOJIA
2026-07-21 06:41:03
7
apostlejohnnengala
Apostle John Nengala :
tukisema watu wasome theologia hamtaki. ona sasa.
2026-07-20 09:02:20
1
esterlove135
Katoto ka Yesu :
mmh jaman tujisomee tu wenyewe
2026-07-19 22:30:02
4
pastor.emmanuel605
EMMANUEL :
ebu futeni hii video jamani
2026-07-20 11:50:37
0
user81533117127535
apostle -Dodomwa :
nilikuwa naitafta Amina kwenye comments nashukur Mungu nimeikosa
2026-07-20 16:41:56
1
raahchozeh
ra'ah chozeh :
Jamn jamn tusome
2026-07-20 06:32:16
0
aaronshinamwaifwani
AARON SHINA MWAIFWANI :
malaika yes wanakosea ila mfano uliotumia mtumishi haujakaa sawa mtu wa Mungu unaweza kutumia hata mwanzo 6:1- kuendelea itasaidia kufikisha ujumbe
2026-07-26 15:54:46
0
prophet.godyfire
PROPHET GODY🔥🔥🔥FIRE :
jaman Aya ndiyo matatizo ya kufanya huduma bila maandalizi ya kiroho
2026-07-20 05:57:52
7
emmanulmwasomgwe0
EMMANUEL F MWASONGWE :
nimesikiliza mpaka mwisho lakini mmmmh tumepigwa labda unieleweshe
2026-07-20 07:10:11
0
david_lemson_ministries
David Lemson Ministries :
Mzee soma neno vizuri
2026-07-20 15:27:27
0
lutonjaandrea
Lutonjaandrea :
m nashindwa kuelewa, nashindwa kuelewa 😂😂
2026-07-20 08:50:05
2
kayoka674
KAYOKA :
hapo pastor mwenzangu umewapiga watu, akili za kuambiwa changanya na kumsikiliza ROHO MTAKATIFU.
2026-08-26 17:52:13
2
lifewisdom70
JuniorWiseProphet :
😂😂😂Aiseeeee haya mafunuo ni hatari
2026-07-19 17:33:58
3
gadmat496
Gad Mat :
Acha Habari za uongo
2026-07-20 15:04:07
0
daudidandi298
Daudi Dandi :
Unakosea hakuna malaika anayefanya kwa utashi wake mwenyewe aliyepewa utashi ni mwanadamu tu malaika huagizwa na Mungu
2026-07-19 16:04:28
1
simba.kijana7
Simba kijana :
hmmm Dunia inamengi ivi kunawayu niwaxhilil wa kanisa lako nawanakusikiliza et
2026-07-19 18:21:47
0
godfreymiyonjo
godfreymiyonjo :
kwani YESU alipaswa kuwa mfalme wa wapi?
2026-07-20 00:09:50
2
To see more videos from user @gseven.mwasomola, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About