@barackisaya249:

Barack Isaya
Barack Isaya
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 19 July 2026 12:07:14 GMT
33324
1810
71
171

Music

Download

Comments

user4281724700885
user4281724700885 :
hata kisheria kujaribu kubaka ni kosa na kubaka ni kosa ni vifungu tu vinatofautiana, kwa hiyo mpira, kuwa shabiki, na kucheza na familia yako ni dham
2026-07-28 05:18:46
1
mnyantuzuog
msix :
mmh kama ni dhambi basi,mim shabiki wa yanga,Chelsea,real Madrid na psg.Kama ni dhambi basi nimeisha
2026-07-25 08:24:17
4
reysonjuma04
Reysonjuma04 :
Mm ni msabato ila mm ni shabiki wa yanga na Liverpool 🙏
2026-07-24 17:30:37
7
user3810862783566
Novatus Simon.. :
kama unampenda krito like hapa..
2026-07-29 08:20:32
1
user6240188243971
[email protected] :
Asanteee Mchungaji kwa fundisho hilo ubarikiwe sana
2026-07-27 13:11:30
1
obebopaulngare
Schrodinger :
am an Adventist, and a Manchester united fan
2026-07-25 18:53:52
1
adamaskasiki
le grand adamas 01 :
mimi ni msabato ila ni shabiki wa mpira na messi
2026-07-25 01:34:29
1
mariammasala
🦋Baby soft💞 :
kiukwelii hapa dunian kila kitu nidhambi ila me nikitazama simba na asenarl naona kama Mungu ananisamehe dhambi zangu zote
2026-07-30 19:42:24
1
mathayo.john14
Mathayo john :
sio dhambi, ila ikizidi inakua dhambi, usicheze mpira Wala usiangalie mpira kwanzia ljumaa jioni Hadi jumamosi jioni, na jumatano saa kumi na Moja jioni Hadi saa kumi na mbili jioni, siku zingine fursa ila ila sio muhimu, jilinde na uraibu na kama Kuna semina kanisani nibora uende kanisani
2026-07-24 17:41:40
3
lupama04
Lupama :
siyo dhambi isipokuwa tu pale mpira utapewa kipaumbele kuliko Mungu.
2026-07-26 08:56:07
3
abwe.salima
ABWE SALIMA :
maneno yako yanatoa mashauri mazuri mtumishi wa Mungu, ubarikiwe
2026-07-26 18:13:06
0
jacksonlucas639
Jackson Lucas :
mmeisha
2026-07-25 12:05:19
0
robatihamza968
robati hamza :
hii ndio raha ya kuwa na wachungaji wasomi wanaoelewa kucheza na nyakati
2026-07-28 13:25:13
1
dottokayumbo768
nonchalant :
tatizo mapokeo yanapotawala fikra za waumini wengi,cheza mpira kama unakipaji ila usiroge
2026-07-27 11:52:30
0
mr.sportztz
mr.Evans :
je wachezaji wa mpira ni watenda dhambi? maana mpira hujichezi wenyewe
2026-07-24 20:08:09
1
sirshijathegreat
sirshijathegreat :
Kwani mpira siyo kipaji, vipi kipaji iwe dhambi? mbona kuimba na kucheza hamsemi kama dhambi?
2026-07-26 18:17:30
0
annasirguda
annasirguda :
na mchungaji max wa yanga itakuaje sasa🫣😂😂😂
2026-07-25 17:26:38
0
steve.marash
Steve Marash :
mimi msabato na nashabikia Liverpool lakini siwez kosa hamu ya chakula ati sababu tumefungwa
2026-07-26 09:49:21
1
mathokuboja
Matho Kuboja :
kwasababu utaacha sabato unaeda kwenye mpira@@
2026-07-24 16:45:42
2
pangraminvestments
pangraminvestments :
Kwanza tuelewe maana ya neno dhambi
2026-07-25 07:04:26
3
johnaldo_furniture
Johnaldo :
pastor unazunguka sanaaa ukweliii ni kwamb sio dhambii
2026-07-25 21:48:20
0
selemanibwire861
selemanibwire861 :
nikipata andiko toka kwenye biblia linalosema ni dhambi sawa .ila kama hakuna andiko tuache ngonjera.
2026-07-30 07:39:27
0
petermosha3
petermosha3 :
yanga yangu kama nidhambi imeisha
2026-07-25 13:42:08
0
user5154379597055mojo
MO SAMAKI 🐟🐠 NA DAGAA Mwanza :
Barikiwa Pr Bihene
2026-07-27 12:39:06
1
channy.elizabeth
JohnLee :
vema sana
2026-07-24 16:43:47
1
To see more videos from user @barackisaya249, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About