Mtu awezi kuua Bila sababu bhana sema wazazi na ndugu zetu wanatuludisha Nyuma sanaa alafu ukiangalia pesa zetu ngumu Sana adi tunavyo zipata
2026-07-19 18:45:17
436
the vibe :
tulioko upande wa muuja tujuane
2026-07-20 06:51:11
200
TECH FUSSION :
Niko upande wa adui wazazi wamezingua
2026-07-19 23:31:53
149
18/6/2026 :
mimi nipo upande wamuuwaji staki kuskia chochot kuusu muuaji😂😂
2026-07-19 20:48:31
308
Being🥰vinnie🥰🥰 :
Very sad is not that easy 🥺🥺
2026-07-20 08:31:12
1
Narasha Collection dubai :
pesa ya nje inauma sana🙌🙌🙌
2026-07-20 01:17:02
37
baba nairah :
ila hili nifunzo kwa. wazazi wengine.
2026-07-20 01:00:05
49
Aunt nana♥️♥️ :
uyo shangaz uyooooo tutamfatilia
2026-07-20 04:21:55
54
Fetty🦋 :
Mimi naona mwenyekiti anachuki na Suma haiwezekani anamkandia kiasi kile
2026-07-20 06:08:33
38
Mamy isti :
sijuh kwann familia ndo sehem ya kwanz kutuanguasha😭 moyo wake umejaa maumiv yule kaka imain yake ikapotea akakumbuka jinsi anavyotafuta ela yake
2026-07-20 03:48:09
34
Essie🦋🦋🦋 :
Finish
2026-07-19 21:38:41
1
Comr Ade :
sure bro
2026-07-19 22:31:27
3
Mihambo Jr@ :
fact bro point 🫡🫡🫡🇹🇿
2026-07-20 08:37:25
6
🇿🇦 G ms@f!..🐐 :
chair Man yuk sahiii
2026-07-19 14:50:55
1
malume njou :
umeongea kweli brother maisha ya nje noma zaidi ya depo
2026-07-19 12:56:40
72
linah :
Muuaji aliyependwa na watu
2026-07-20 10:25:27
11
user1304365753499 :
kweli kabis
2026-07-19 22:45:38
8
munnah stylish 👗✂️ :
nayule mwenyekiti alikuwa anaongea kwa chuki kweli wallahi
2026-07-20 08:47:41
14
Teddy (mamafrica) :
nko upande wa adui... sometimes wazaz wanazingua
2026-07-20 08:01:01
15
mama nay🇹🇿🇴🇲 :
kaka nakuelewa Yani family zina shida sana tunafanya kazi uku nnchi za watu wazazi ndo shida mim nipo oman nililudi akuna kitu ila kwavile mzazi niliishia kuumia tu ila mtu mwingine ajui kweli kaka tunateseka
2026-07-19 20:09:49
89
dedeh Tz :
hela inauma sana watu wanateseka sana ila yule broo kakosea
2026-07-20 04:21:32
32
Mrs. best naso :
Kwan unaenda wap jmn maana sikwelewi Upo kwenye gar au boda 😂😂