kuhama kanisa Kuna saidia Kuna makanisa yameoza yananuka!🙏
2026-07-20 18:50:29
11
Jackson :
very true. but some they shift bcz of certain issues 1Corinthians 15:33 5:1-13 2Corinthians 6:14-18 revelation 3:1-21 Proverbs 13:20 . not only sin. I love your preaching, ubarikiwe Sana🥰🙏🙏
2026-07-20 11:58:03
6
MCH LUKANSOLA :
Amen
2026-07-22 05:23:47
1
ma g :
wengine wanahama changamoto ya wachungaji akipata washilika wapya wazaman wabaya au ukipunguza kutoa 😭😭
2026-07-20 06:24:48
7
mashotohdotoh :
mda mwingine kuhama kanisa sio kwamba ni kuokoka lakini watu wanahama kwa sababu ya mwienendo ya kanisa alivyoiona
mfano kanisa linaweza likawa halikatazi wanawake kuvaa nguo zisizostahili au kanisa kutokufuata maneno sahihi ya mungu.
kwaiyo kuhama kanisa sio kosa kwa mtu yeyote,
kwaiyo ndugu zangu kama umeona kanisa halifati yaliyosahihi kwa mungu unastahili kuhama tuu
kuliko kuangamia na wasiofaa
2026-07-20 11:16:09
6
JOSEPHAT MUTASINGWA :
injili ya kweli ina kuremba ya POKEAAAA!!! hapo Yesu yupo kwelkweli asante yesu kwajili ya mtumishi wako uyu umlinde dhid ya mwovu
2026-07-20 04:44:35
6
baba D :
barikiwa popote ulipo mtumishi wa mungu
2026-07-22 03:58:43
3
baby face cp :
unamaanisha hta ukiwa mwislamu unezakua na wokovu? nisaidie hili
2026-07-20 09:49:21
1
Rajabu Hussein :
kwani dhambi gani tena si tumekubaliana yesu aliondoka nazo au
2026-07-20 08:46:53
1
Rynd mg🧁 :
mungu akutie nguvu mchngaji lkn tik tok cyo nzuriii kwawatumishi wamungu
2026-07-21 20:11:11
1
Ev Emmanuel Sinyangwe Mlimani :
Amen sana kaka
2026-07-21 15:38:41
0
kambi la waebrania :
ubalikiwe ktumishi
2026-07-20 04:28:28
0
Sir-charles :
kweliii mtumishi wa Mungu
2026-07-20 05:04:33
4
user141582924019 :
aimeni baba tumepokea
2026-07-20 05:03:30
1
Ba abigaili :
Amina 🙏
2026-07-19 18:04:30
1
joycerichard :
Nmekuelewa sana mtumixhi na hiii imepenyaaaaaaa!!!!! baba
2026-07-20 04:25:40
1
Orofandy :
Amina mtumishi ubarikiwe sana na BWANA
2026-07-20 08:17:09
0
GMF :
Nikirudi kwenu mtaniruhusu kula 🍻 kama RC??
2026-07-20 13:44:44
0
mwaju 💞💞💞💞 :
hahahass😅😅😂😂😂😂😂😂🤣 ila pasta inatosha jamani ndio uniseme mimi nasaiz nimeslim naitwa mwaju 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
2026-07-20 08:09:29
0
makala :
wengine wanahama changamoto za wawijilist
2026-07-20 08:11:36
2
user288254543796alexswai :
ameee
2026-07-20 02:35:45
1
lisabella :
huyu ni mimi 🤣🤣🤣😅Nahama mno makanisa ,,🥲
2026-07-20 07:17:28
1
To see more videos from user @mrsibandukikwayesu, please go to the Tikwm
homepage.