@ostazjuma: Wanaosema Sheikh Walidi ametetewa na wahuni, haya ndiyo majibu yao. Tena wawe na adabu kwa Masheikh. Nenda YouTube OSTAZJUMATV ukatazame nondo za kufa mtu. Hakikisha umesubscribe, umebonyeza alama ya kengele, umelike na kushare kwa wengine.
Hao wanaoonekana wahuni huenda wakawa Bora kwa Allah kuliko hao wanaoonekana wema kwa macho yetu
2026-07-19 16:54:33
32
MTAKATIFU JOSEPH :
sio upendo ni unafiki
2026-07-19 16:41:33
3
mamamunira :
na wahuni ndio wanaobeba jeneza na sio wanafiki upendo wao ni wakweli
2026-07-19 20:26:45
5
Fatma Mikpot :
fantactik
2026-07-19 17:19:39
0
MwaJ :
kweli kabisa
2026-07-20 05:39:56
2
BAMSI BEY⚔ :
kabisa walid baba lao
2026-07-19 19:24:13
7
💞💞lovelypink :
Yani wewe juma nimekusamee yote Kwa kua upo pamoja na sisi ktk kusema ukweli kuhusu Wallid mana nilikua nna hasira sana yaliyopita kuhusu kishki ila nimekusamee
2026-07-19 17:37:41
6
africanculture25♈️ :
safi kana kaka . mitume wote na maswahaba wote walikuja kwa ajili ya jamii iliyo potea , nabii ISSA(Yesu) , mtume Muhammad , MUSSA , NUHU nawenguneo . kwahiyo ata walid yeye ni kiongozi wa dini kazima awe karibu na walio potea ili awarudishe wawe sawa .🔥
2026-07-20 09:22:10
2
@MD@KHAN🦺🦺 :
nikwel ukiwamkweli lazima watuwakuchukie👍
2026-07-20 09:42:32
1
Lilu class :
mtume Mohammed s a w had mawe miti wasio waislm pia walimtetea Sasa kosa liko wapi
2026-07-20 09:39:56
1
Kagema :
Mm ni mkristo lkn nampenda Shekh Walid kwasbb ya mienendo yake ya neema kwa watu wote
2026-07-20 08:25:58
1
Mouna shabani :
sheikh juma wamsoma tuna shukuru sanaa Kwa kumtetea sheikh wetu walidi Hana ubaya na mtuu💯💯💯❤️❤️❤️❤️
2026-07-19 20:10:42
3
Hudhaifa __10 :
Enyi mlio amini! Wanaume wasiwadharau wanaume wenzao, wala wanawake wasiwadharau wanawake wenzao. Huenda hao wadhatauliwa wakawa bora kuliko wao. Wala msivunjiane hishima, wala msiitane kwa majina ya kejeli. Ni uovu kutumia jina baya baada ya kwisha amini. Na wasio tubu, hao ndio wenye kudhulumu. 49:11 Qur'an 📖 ✍️
2026-07-19 20:08:20
3
majimoto daughter :
tena wajiheshimu kabisa wanaosema ujinga
2026-07-20 07:41:21
1
Me. :
yaani leo umeongea maneno mzuri saaana maisha llah
2026-07-19 16:13:54
1
Hudhaifa __10 :
Ikiwa Mungu anampenda mja, anamwita Jibrili, akisema, “Mungu anampenda fulani, basi mpende.” Kisha Jibrili anampenda na kuwaita wakazi wa Mbinguni, “Mungu anampenda fulani, basi mpende.” Kisha wakazi wa Mbinguni wanampenda, na kisha anakubaliwa duniani.
Imesimuliwa na: Abu Hurairah | Imeripotiwa na: Al-Bukhari | Chanzo: Sahih Al-Bukhari
Ukurasa au Nambari: 3209 |📚 Uainishaji wa Hadithi:
Imesimuliwa na Al-Bukhari (6040)📚 na Muslim (2637)📚
2026-07-19 20:14:35
2
Maria Godwin :
waache husda
2026-07-20 09:58:02
0
Modymzurii🇰🇪 :
💯💯💯
2026-07-20 12:05:55
0
Abdunuru Simkwasa :
Nimekusoma Vizuri Ustaadh Juma na Musoma
2026-07-20 10:39:44
2
ALHMDULLILAH🤲🏻 :
Kusema ukweli nani alikua anafatilia sheikh yyt wa mkoa kama sheikh Walid alivyofatiliwa??
2026-07-20 10:51:39
0
Abdunuru Simkwasa :
Huwezi kuzuia Kudra za Mwenyez mungu kwa Shekh Walid
2026-07-20 10:41:37
1
rafikdahalane :
Masha Allah
2026-07-20 11:56:53
0
To see more videos from user @ostazjuma, please go to the Tikwm
homepage.