nakumbuka kipindi chetu miaka ya tisini na Tisa mpk 2007 ilikuw hivyo lkn sasa wazanzibar sijui nani ameturoga
2026-07-20 05:42:29
8
MBR TWO :
shekhe unaongea ukweli... lkn pia inqpotangazia kuna mambo mawili yanatokea ... 1. Kutangaza neema na kuweza kuendeleza ushawishi wa kusoma
2. Uwapa nafasi maadui juu ya kuendeleza Husda au mipango ya husda juu ya wapemba
2026-07-20 03:49:38
1
💲🛳 :
wapemba gonga like hapa
2026-07-20 08:57:07
5
Muwarabu :
wapemba hatar sana
2026-07-20 07:58:32
3
MOHAMMED KITCHENWARE 2020 :
shekh pemba sio mji..
Pemba ni kisiwa
2026-07-20 05:21:58
1
Al Husseyn🇹🇿 :
Mashaallah
2026-07-20 03:43:35
0
Salum Machano :
SIASA ZA KUBAGUANA NDIO TUNAENDELEA NACHO
2026-07-20 09:00:32
2
Pemba Nyumban :
Kwa Pemba Shekhe Alhamdulillah , hata ukiona mlevi Pemba ila kwenye Quraan yuko vzr Shekhe
2026-07-20 04:59:33
2
Azy Nass :
2026-07-19 23:20:27
0
Libna Kassim :
Taqbeeeer
2026-07-20 05:05:34
1
Mwamgongo Kigoma :
shekh imebaki istolia kama hio ilikua nyumbayetu bas
2026-07-20 19:35:51
0
Aliarkam :
Mashaa allah
2026-07-20 17:16:15
0
Hamad Salim Ali :
mashallah
2026-07-20 14:37:22
0
sofi :
wanasoma ila hawaizingatii
2026-07-20 08:01:57
0
Abdul Suleiman :
kweli kabisa shehe wetu
2026-07-20 11:51:00
0
Mrshuns og# :
ndio Alhamdulillah
2026-07-20 12:39:03
0
Mustamim Mushajara :
asaiv tumeingizwa kweny siasa na mizozo
2026-07-20 09:12:42
0
Narmin Niroo :
walimu wetu zaman walitusomesha bura na Kila aina ya vitabu ni bure sasa how bi Kila kukicha madrasa watt wanatumwa pesa Kila siku
2026-07-20 05:43:23
2
Hafidh :
Umeongea ukwel mtupu
2026-07-20 02:54:49
0
User9965694986872.زنب :
Mashaa Allaah
2026-07-20 02:20:22
0
KUPATIZA BOY :
hakunaaaa sasaaa storiiio
2026-07-20 06:41:47
0
mine :
Ustadh kakosea hilo
2026-07-20 06:29:26
0
nasma_hilal :
alhamdulillah pemba yetu na zanzibar kwa ujumla
2026-07-20 05:54:24
0
Safia :
kweli kabisa Mashaallah Mashaallah
2026-07-20 05:52:03
0
khadija :
JAPO SIKAMA ZAMANI LAKINI KWA TANZANIA PBA ALMUSALAMA
2026-07-20 11:44:45
0
To see more videos from user @nyayozamaulamaa, please go to the Tikwm
homepage.