@official_dariodavid: Maisha haya ni safari yenye mwisho, na kila siku ni nafasi ya kumkaribia Mungu zaidi. Sitaki kukawia kwenye mambo yanayonitenga na kusudi langu, kwa maana muda unakwenda na wito wa Yesu ni wa thamani kuliko kila kitu. Dunia inaweza kutoa mengi, lakini moyo wangu unatamani jambo moja tu, Uzima wa milele pamoja na Kristo. Bwana nisaidie nikimbie mbio hii ya imani kwa uaminifu hadi mwisho na nipokee taji uliloniandalia. 🙏🏾 #fyppppppppppppppppppppppppppppppppppp #tanzaniantiktok🇹🇿 #university #creatorsearchinsights #trendingvideos