yesu na Mungu. ni kitu kimoja ukimuona Mungu sawa umeniona yesu leo ni nafsi moja iyooo
2026-07-23 11:49:53
2
manyessa wisdom show :
QURAN INAMAJIBU YAMASWALI YOTE, MUHIMU YAKIIMANI , WATU WAMEAMINISHWA VIBAYA WASIIJUE UKWELI, KARIBUNI KWA PROFILE YANGU TUPATE MAJIBU SAHIHI KUTOKA KWA MUNGU MWENYEWE
2026-08-15 11:54:25
1
m_smart18 :
izi dini jamn dah,Bana mi ntaanza kuwa bhuudha๐คฃ
2026-08-16 09:50:49
0
nia Edward James mashindeke :
kwaiyo waliokufa kabra ya vitabu watahukumiwa wote?
2026-07-30 10:36:36
5
user7102017853470 :
mungu ni mmoja tu na hakuzaa Wala hakuzaliwa na hafanani na chochote
2026-08-14 12:21:19
2
Mazima54 :
Kifo haijawakuwa mpango wa Mungu,hivyo watu wanakufa kwasababu ya uchaguzi mbayo walioufanya,sasa Yesu alikuja kwenye mission ya urejeshwaji, kwamba watu waishi wakifurahi wasife wala wasiugue,hivyo basi Mission ikikamilika Watu wataanza kuishi kama zamani.
kifo ni usingzi tu.
na ndiyomaana Biblia inaelezea kwamba kuna mauti mbili,ya kwanza haina nguvu ndo hii watu wanayokufa sasa,lakini ya pili ndo itakuwa ina nguvu kwamaana watakao kufa mauti ya pili sehemu yao haitakuwepo tena.
2026-08-05 11:12:21
1
๐ผ๐ฒ๐ฏ๐ฒ๐ช๐ท ๐ท๐ด๐ฑ๐ช๐ท :
karbun kwenye dini ya kwl ya haq isiyokuw na shaka haina dilemma ya aina yeyote ISLAM
2026-08-12 16:54:36
3
MR OFFICIAL_USED&NEW_PRODUCT :
Jibu rahisi sana Mungu ana nafsi tatu BABA MWANA na ROHO MTAKATIFU
2026-08-04 11:37:07
0
mujuni :
MUNGU YUPO SEHEMU MAHALI POPOTE WAKATI KWA SABABU YEYE NI MUNGU SISI ATA TUKIFA HATUWEZI KUWA NA SIFA YA MUNGU NDIO MAANA ATA MALAIKA NI ROHO LAKINI HAWANA SIFA YA UUNGU WAPO SEHEMU FULANI
2026-08-12 14:20:41
1
John Lucas :
kutuandalia makao mbinguni vip tena yupo popote mahali kote?
2026-08-16 05:42:55
0
hecatedavish :
n mtt wa Mungu
2026-07-20 08:49:51
0
Jimmie :
Shida Unauliza na kujijibu mwenyewe,ungeniuliza mimi ningelikujibu kwa ufasaha.
2026-08-05 15:22:54
0
hashir abdallah ๐ :
alhamdulillah kwa neema ya uislam
2026-08-17 11:30:08
0
user9900691113245 :
hawajuwi wanalolisema๐คฃ๐คฃ๐คฃ
2026-08-15 21:19:03
0
Mamy :
Ok tuchukulie hakuna Mungu. Hivi kuna kitu chochote kinachokuja bila 7bu maalum? tafakkar
2026-08-16 18:37:39
0
mtukutu45 :
kwa hyo ilianza dunia kabla hajaja alieumba hyo dunia dah hwa ndugu ztu kwel milembe
2026-08-12 20:12:06
1
RIVINUSS CHARLESS :
akuna wakati mbaya kama huu na amna wakati mzuri kama huu kwaiyo shika ulichonacho
2026-08-12 05:48:47
1
KISUGHUMO GKK๐ฆ :
pia walio fariki kabla wako wapi ?
2026-08-14 18:22:08
0
jaymus :
Luka 2:21 (Biblia Takatifu) Hata zilipotumia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
HATUWEZI KUA NA MUNGU ALIE TAHIRIWA
2026-08-14 16:09:13
0
Rich boy :
๐๐
2026-08-14 11:48:52
0
Mr Jastin :
baba kama mwana
2026-08-14 09:59:17
0
paulrt :
Nitajie hivyo vitabu ambavyo biblia iko kopi kwavyo
2026-07-23 14:25:28
0
To see more videos from user @mathayosangason, please go to the Tikwm
homepage.