@jugo_media: Hivi Ndivyo Namna Padre Anavyovyaa Mavazi Kabla ya Misa Takatifu, Pia Maana za Mavazi hayo zimeelezwa. Padre Maxmilian Wambura ameadhimisha Jubilei yake ya Fedha katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu, mahali alipokulia katika imani na kupokea Daraja Takatifu la Upadre mwaka 2001. Miaka 25 ya Upadre, safari ya imani, wito na huduma. 🙏 Hongera sana Padre Wambura! 🎉 #JubileiYaFedha #Miaka25YaUpadre #PadreMaxmilianWambura #KanisaKuuLaMtakatifuYosefu