@nannadvl: Pero me prefieres a mi | #jennie #blackpink #blink #Edit #jennieedit // Jennie edit. Jennie villain edit. Jennie reguetón edit. Jennie 4k edit. Original content

nanna🪽
nanna🪽
Open In TikTok:
Region: CO
Sunday 19 July 2026 19:52:32 GMT
67007
11037
92
643

Music

Download

Comments

abram_edit1
ABRAM :
Ganó España 🇪🇸 y buen edit nana
2026-07-19 22:13:12
46
sooely23
Shey :
eres muy muy muy linda ❤️‍🔥
2026-07-19 21:31:32
14
vivianpavx
vivian🪐 :
Tremenda mujeron
2026-07-19 23:56:40
3
kiradom97
Kira D✌🌼 :
Horarios en Latam para el estreno de Less than a Lover ✨
2026-07-22 02:56:41
12
enwonlf
Jaden⁷ :
Quedé loca con las transiciones 🫪🫪
2026-07-20 01:24:42
9
the_best_liliess5
☀️The_best_liliess☀️ :
Firsssttt
2026-07-19 19:54:50
3
trqwbryy
JNSST★RR.AE :
arte nanna eres la mejor editora
2026-07-19 21:05:58
2
sooely23
Shey :
llegue tarde
2026-07-19 20:15:41
3
sooely23
Shey :
oye nanna como buscas los fancams el YouTube pero como le podes para que te salgan muchos fancams
2026-07-19 20:23:07
1
darklisssss
Darkliss :
Best editör
2026-07-19 20:33:28
1
mariasze02
𓇼🐚☾☼-Maria! :
omgggg, i love it
2026-07-19 19:55:39
1
blackpinkfan4ever08
🎀JENNIE_F4N!🎀 :
Que bonito
2026-07-19 19:55:11
1
To see more videos from user @nannadvl, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

VIDEO: Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, ametoa kauli kuhusu mustakabali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisema kuwa katiba ya sasa ndiyo tishio kubwa zaidi kwa muungano huo kuliko kitu kingine chochote. Akizungumza leo Septemba 8, 2026, katika Mkutano wa Kitaifa wa Wadau wa Kutafakari Hali ya Siasa nchini unaofanyika mkoani Dar es Salaam chini ya uratibu wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Othman amesisitiza kuwa suala la mamlaka huru ni jambo la kukubaliana kwamba mamlaka hayo yanakwenda mpaka wapi, yanaishia wapi, yapi yatasimamiwa na mamlaka ya kati au mamlaka kuu na wanachama wa muungano watakuwa na mamlaka kwa kiasi gani. Akitoa mfano, Othman amefafanua kuwa, ingawa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ni mwanachama wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kama mwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kiuhalisia TFF haiwakilishi muungano bali inawakilisha ligi ya Tanzania Bara.  Wakati huo huo, upande wa Zanzibar umezuiwa kupata uanachama wa FIFA, jambo linalofanya upande mmoja wa muungano kufurahia na kutumia mamlaka ya kimataifa kwa faida yake pekee kinyume na misingi ya usawa wa pande mbili. Mwanasiasa huyo ameonya kuwa kwa sasa muungano unaonekana kuwa shwari kwa sababu tu chama tawala cha CCM kinashika madaraka pande zote mbili, Tanzania Bara na Zanzibar. Hata hivyo, amesisitiza kuwa mfumo wa kikatiba lazima ujengwe kuhimili mabadiliko ya kisiasa pindi chama kingine kitakaposhika madaraka upande wowote. Ametahadharisha kuwa, kutokana na migongano mikubwa iliyopo kwenye katiba ya sasa, akitokea kiongozi yeyote atakayeamua kusimama kidete na kuifuata katiba hiyo kama ilivyo sasa bila kuifanyia marekebisho, nchi itaingia kwenye vurugu kubwa sana.
VIDEO: Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, ametoa kauli kuhusu mustakabali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisema kuwa katiba ya sasa ndiyo tishio kubwa zaidi kwa muungano huo kuliko kitu kingine chochote. Akizungumza leo Septemba 8, 2026, katika Mkutano wa Kitaifa wa Wadau wa Kutafakari Hali ya Siasa nchini unaofanyika mkoani Dar es Salaam chini ya uratibu wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Othman amesisitiza kuwa suala la mamlaka huru ni jambo la kukubaliana kwamba mamlaka hayo yanakwenda mpaka wapi, yanaishia wapi, yapi yatasimamiwa na mamlaka ya kati au mamlaka kuu na wanachama wa muungano watakuwa na mamlaka kwa kiasi gani. Akitoa mfano, Othman amefafanua kuwa, ingawa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ni mwanachama wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kama mwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kiuhalisia TFF haiwakilishi muungano bali inawakilisha ligi ya Tanzania Bara. Wakati huo huo, upande wa Zanzibar umezuiwa kupata uanachama wa FIFA, jambo linalofanya upande mmoja wa muungano kufurahia na kutumia mamlaka ya kimataifa kwa faida yake pekee kinyume na misingi ya usawa wa pande mbili. Mwanasiasa huyo ameonya kuwa kwa sasa muungano unaonekana kuwa shwari kwa sababu tu chama tawala cha CCM kinashika madaraka pande zote mbili, Tanzania Bara na Zanzibar. Hata hivyo, amesisitiza kuwa mfumo wa kikatiba lazima ujengwe kuhimili mabadiliko ya kisiasa pindi chama kingine kitakaposhika madaraka upande wowote. Ametahadharisha kuwa, kutokana na migongano mikubwa iliyopo kwenye katiba ya sasa, akitokea kiongozi yeyote atakayeamua kusimama kidete na kuifuata katiba hiyo kama ilivyo sasa bila kuifanyia marekebisho, nchi itaingia kwenye vurugu kubwa sana.

About