@mecamedia123: ⚽ Fainali ya Kombe la Dunia 2026: Hispania na Argentina zatoka sare ya 0-0 kipindi cha kwanza Kipindi cha kwanza cha fainali ya Kombe la Dunia 2026 kati ya Hispania na Argentina kimemalizika kwa sare ya 0-0, huku timu zote zikionyesha ushindani mkubwa katika mchezo unaofanyika kwenye New York New Jersey Stadium nchini Marekani. Hakuna timu iliyofanikiwa kuvunja ukuta wa mwenzake katika dakika 45 za kwanza, licha ya kushambulia mara kadhaa na kutengeneza nafasi za kufunga. Mashabiki duniani kote sasa wanasubiri kwa hamu kipindi cha pili kuona ni timu gani itakayofanikiwa kupata bao la ushindi na kutwaa taji la dunia. Bonyeza hapa ili utu follow Meca Media: https://www.facebook.com/share/18phvhvt9x/?mibextid=wwXIfr Soma zaidi: www.Mecamediaafrica.com Mwandishi: Shuri #WorldCup2026 #Spain #Argentina #Final #Messi

Mecamedia
Mecamedia
Open In TikTok:
Region: US
Sunday 19 July 2026 20:01:04 GMT
21125
367
4
15

Music

Download

Comments

ptah.ptaah
ptah ptaah :
best goalkeeper Martinez
2026-07-19 21:22:08
2
princesmorine0
[email protected] :
Watu wa kweli mkuje hapa❤️SPAIN 1, ARGENTINA 0
2026-07-19 22:25:50
1
kalid.hassen224
Kalid Hassen :
2 espain 0 argentina
2026-07-19 20:56:04
1
fadhilinasolo
Fadhili Nasolo :
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2026-07-19 22:59:38
1
To see more videos from user @mecamedia123, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About