@selphix_media: Kanye West akataa Ofa aliyopewa na FIFA ya Dollar milioni 20 ambayo ni zaidi ya Bilioni 51 za Kitanzania iliyokuwa kwaajili kuperfom jukwaa la Fainali ya Kombe la Dunia ambapo alipaswa kuperfom wakati wa Halftime. Moja kwa moja aliuliza list ya watakaotumbuiza na hatimaye Kanye akasema hawezi kuperfom jukwaa moja na wasanii kama Shakira, Ishowspeed na Madonna kwasababu atashusha hadhi ya jina lake ambalo amelitengeneza kwa muda mrefu (brand) Powered by: @sephil_sapphire_pride_castle @come_and_savegiftshop @comeandsave_decorationcenter . Tembelea YouTube channel yetu ya Selphix Media kupata taarifa nyingi Endelea kufuatilia @selphix_media kwa Habari Zaidi #SelphixUpdates #selphix_media#tiktoktanzania🇹🇿 #creatorsearchinsight #tiktoktrending

selphix_media
selphix_media
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 19 July 2026 20:34:33 GMT
123834
4625
143
138

Music

Download

Comments

jason_de_skillionaire
Jason|Trades :
sasa Ye aperform na ishowspeed!?
2026-07-20 09:27:15
0
badboy2333333333333333
badboy23333 :
tunalinda bland
2026-07-21 06:20:42
0
unclebenny_12
Bensoul :
hiii ndo hip-hop sasa YE
2026-07-20 03:32:34
3
jumarudhary
Juma Rudhary! :
'kanye west' maana yake ndo "kanye magharibi" au?? 😂
2026-07-20 06:50:03
62
djanta018
Dj Anta Mwamposa :
Kwenye sanaa misingi ni kitu muhimu sana kwa title yake naona ni kitu sahihi
2026-07-20 03:41:53
46
hudumia
Hudumia :
Kwenye ela sina brand
2026-07-20 01:31:12
27
rojabilo
Robinho💀💥 :
Brand muhim
2026-07-20 05:33:20
8
brinastore4
rinstore4 :
Uyu nae anaakili zake binafsi tutamfatilia
2026-07-20 07:01:57
13
ronyaboy775
RONYA BOY :
successful based on reason and reality 🔜💸💸
2026-07-20 06:33:57
3
abcaaz1
Abc :
wangenipa bilioni moja tu jaman ningepafomu ata miaka miwili
2026-07-20 14:03:50
9
chriss.tinnah
Chriss - Tinnah :
Uzuri wa wazungu mpaka ana uhakika lkn kataa ww hapo ofa ya laki tano uone maisha yatakavyokupiga, ni kama tumerogwa. Na hapo yeye ana uhakika wa show zingine.
2026-07-20 06:08:18
7
suhamipo
Sule_gy🍒🍒 :
sasa kama Kanyewest mwenyew amekataa, alaf unasema mm niwe kanyewest tna si ningekataa vile vile kwasabab hakun ambach kingebadilika. yeye kanyewest na mm ningekuwa kanyewest ningetaa vile vile
2026-07-20 07:14:39
7
cieloliz77
cieloliz :
yupo sahihi huyu ni genius 😂😂😂
2026-07-20 06:37:16
12
shakiraissa0348
shakiraissa034 :
kwake hiyo pesa ni ndogo sna si uongo
2026-07-20 06:31:23
5
kentrosaurus36
🩸 :
hata mimi ningekataaa
2026-07-20 08:13:08
1
modelcute13
🛜📶 :
M ningechukua alf nikakimbia😂😂😂😂
2026-07-20 13:53:38
0
.crystal.breez
Crystal breez :
kweli kushusha bland ela ipo tuu
2026-07-19 23:18:24
7
wantedsniper2
Wanted Sniper :
Yupo sahihi
2026-07-20 07:28:11
1
francis.mbasha
Francis Mbasha :
Yuko sahii kabisa
2026-07-20 07:20:20
2
user4014230744177
sanny boy 6 :
pesa anayo milik huyo mtu ni balaa so hiyo dollar 20 sio kitu kwake
2026-07-20 08:47:34
6
monikakaparisya40
Monika Kaparisya :
mweeee
2026-07-20 06:27:46
1
abeidomar219
mwiba :
Tsh 51,000,000,000
2026-07-20 06:48:24
1
epifanialema
epifanialema :
wangejarbu kwa jay z
2026-07-20 08:27:29
2
To see more videos from user @selphix_media, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About