Niliwatoa vijijini watoto wa mjomba wangu nikawatafutia kazi wa kwanza akaniibia vitu akatoroka,wa pili nikampangia chumba nikasafiri mwisho wa siku kasema Hana undugu na sisi baba yake Ndio ndugu yetu sio sisi 🙌😀😀
2026-07-20 12:51:47
2
anetymwesiga :
ni mimi
2026-07-20 17:12:13
1
kasanga :
nikweli mpaka sasa nipo pekeangu
2026-07-20 13:43:18
2
maryukutu :
huyo ndo mimi kabisa
2026-07-20 05:28:51
2
Beatrice Mapunda :
nikweli
2026-07-20 08:21:50
1
Agness :
kwel bora kubak peke yako aman ya moyo wako iendelee kudum
2026-07-20 08:40:16
2
Asma pindua :
hakika jmn
2026-07-20 06:20:15
1
user24310197081593 :
kweli
2026-07-20 14:37:02
1
Adela Mlowe :
ameeen
2026-07-20 07:59:48
1
Sifa Shamamba :
upendo wangu niwandani ya moto ninapofanya upendo sana kwawatu nikiacha kuwafanyiya pale wanapohitaji wananizihaki
2026-07-21 06:09:19
1
JEMIMAH :
Ndio mimi
2026-07-20 10:09:43
1
Mapenzi Chengo :
amiina
2026-07-20 10:45:07
1
jonesia aron rweikila :
nikwel ata mm nafanyiwa hvo
2026-07-20 09:03:03
1
The🎀 african 🌸🍭princess :
Uyo nimimi
2026-07-20 05:00:26
1
uwimana joyeiuz :
kabisayes
2026-07-20 11:48:05
1
user7912491435235 :
huyo ni mm
2026-07-20 17:11:51
1
vivian💗 :
daah!! nipo ivyoivyo jmn
2026-07-20 05:08:54
3
joyce :
kwakwer nipo ivyo naisi umetujuwa
2026-07-20 04:43:44
1
hidayasuleiman531 :
nikweli kabisaaa
2026-07-20 10:49:36
1
bidada :
nilikuaga na rafiki nikajua dar kimasomo ye alikua mkoani akaja mjini kwenye interview ilipoish anikamwmabia usirudi kule komaa hapa hapa mjini utapata kazi ulichosomea kina ajira (nurse) nikalala naye kitanda kimoja hostel tunabanana....akapata kazi akazoea Jiji akapata bwana mwenye hela akaanza kunikejeli na kunidhihaki....akaolewa mi niliona Status tu mashera anapost na na friends zake to keep. after years ananitafuta mbona umepotea tutafutane mi nikakaa mbali Hadi Leo sinaga rafiki....
2026-07-21 06:38:46
0
stella 76a :
nikweli
2026-07-21 08:48:33
1
pinck girl :
duh inaumiza sana
2026-07-21 07:50:23
1
To see more videos from user @vanroseavith, please go to the Tikwm
homepage.