@devotajs: Chosen One your an old soul (Mteule wewe ni nafsi iliyawahi kuishi hapo zamani) #chosenone #fyppppppppppppppppppppppp

Devota JS
Devota JS
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 20 July 2026 05:26:49 GMT
13645
1151
61
8

Music

Download

Comments

miscarlet_dagaa
miscarlet dagaa :
jamani kuwa choosen one is not for the weak
2026-07-20 12:52:25
12
agnesspaulo369
aggy🤩 :
hivi wanatamani sana huu uteule wanadhani ni kitu rahisi 😂😅
2026-07-20 09:36:16
13
up.coming.boss.lad
up coming boss lady :
ushauri wanguu wasitamani kabisa hayooo maisha siyio rahisii kabisa wala ya kutamanika sometime
2026-07-20 10:21:15
3
www.bin3
Bin :
Unajua kuna vitu unaviongea hadi nashituka 🥺 sasa unanifanya nifunguke kuhusu zile sifa nilizokutumia kuna moja Nilikwambia kua uwezo wa kutambua mambo makubwa kuliko umri wako. Nikwamba Roho imeshawahi kuishi zamani na ikashinda sasa karudi kwa kazi ya Mungu na maendo tofauti na maeneo za zamani Unahitaji Roho wa Mungu kuelewa haya
2026-07-21 21:42:58
4
user9947560547269
user9947560547269 :
Ndo maana me najua vtu vingi mpaka nashangaa😂 yaan kila ktu
2026-07-20 10:39:14
7
justine.peter73
Cappy♑🐐 :
Kuna mtu nilishawahi kumwambia wakati baba yangu anazaliwa nilikuwa na miaka sita akakataa🤣🤣🤣🤣
2026-07-20 05:38:25
6
paul.itala
Paul Itala :
naomba niulize swali.yani ishara kubwa ya choosen one ni kuwa na Alama M au?
2026-07-20 11:36:11
2
paul36115
paul :
unaingia live sangabi dadaangu
2026-07-20 07:39:20
1
black_snakeboy529
Leaders 0f Black tz.💥💫💥 :
wambie dada mteule anayoyapitia ata azaliwe upya afikii hasolingi za mteule ningumu ni na nichachu hakuna anaeweza kupitia ni Mungu tuu anasaidia kukuvuxha
2026-07-20 19:14:13
2
isihakapalengele
isihaka Mohamed :
i like it
2026-07-20 05:42:19
1
yusufgeorge853
joge :
Utanisaidiaje natakata unisaidie naona ni kama unaweza kunitatulia vzr nakuomba dadaangu.
2026-07-20 16:45:43
1
dj.coni5
DJ Coni :
nikweli
2026-07-20 07:54:29
2
mercyline619
Mercy :
mm pia niliishi zamani..ndo nikazaliwa tena,lakin nilizaliwa😊
2026-07-20 19:41:57
1
w_kuly
W-kully 😘 :
Mtu akikuzurumu umfanyeje alafu ww ulimtendea wema
2026-07-20 18:40:20
1
mr_nation001
Mr Nation :
nakumbuka kuna kipindi nlikua namuangalia baba na mama angu halafu najiambia mbona hatufanani lolote mbona hawa kama sio wazazi wangu😂 yaan hizi mambo sio rahisi unaweza jikuta unajiuliza maswali yakakufanya ukae pekee yako mda wote
2026-07-20 12:04:13
1
mbuguamuchoki
mbugua muchoki :
Utajua je uliishi
2026-07-23 09:14:14
0
piusmaluli5
Maluli The Great :
hivi unajuaje kuwa ni mteule
2026-07-21 16:29:59
0
efremmwenda435
efremmwenda435 :
Hao MUNGU AWABARIKI Walete neema
2026-07-20 12:06:01
0
chosenoneboy
😇CHOSEN ONE🇹🇿 :
2026-07-20 17:41:27
2
piusmaluli5
Maluli The Great :
maana kuna sometimes huwa kuna vision flani huwa nazionaga but sijajuaga kuna vitu naviona kama before vilikuwepo
2026-07-21 16:31:08
0
geoffreykiptoo302
Gk² :
ñdo maana unafika mahali unapàonakama umai kuwa hapo na ukumbuki okay
2026-07-26 15:38:26
0
shabanhasani38
shabanhasani38 :
nakupenda sana
2026-07-21 21:12:06
1
abrahamhenry381
abraham Henry :
mmmmh
2026-07-23 15:03:46
0
minah_851
Ms_ :
unakuta kila mtu anasema yeye ni choosen one, wengine ni changamoto tu za maisha ambayo mtu hupitia. guys sio rahisi hawa watu wanaanguka wanainuka mara nyingi na mwisho wa yote wao ni washindi tu. ila si rahisi kama wengine wanavyodhania
2026-07-21 17:56:00
0
officially.nainai
officially Nainai :
Mie nashangaa wat weng wanakuja kuniamby shida zao jmn mpk naogopa
2026-07-20 14:03:50
0
To see more videos from user @devotajs, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About