@veriafya: Uvimbe unaweza ukawa ndani ya Kizazi usionekane kwa nje kwa kuvimba kwa Tumbo lakini ukaleta changamoto zikiwemo kushindwa kushika Mimba, Mvurugiko wa Hedhi na hata Mimba kuharibika. Msikilize Dkt. Joseph Salum Kiani, Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Uzazi kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Temeke akifafanua zaidi kupitia KM Online TV