@afya.yako.ni.faha: Kukosa au kupungua kwa uteute (synovial fluid) kwenye maungio ya mifupa kunaweza kusababisha: 1. Maumivu ya viungo – kutokana na mifupa kusuguana moja kwa moja. 2. Ugumu wa kutembeza kiungo – viungo hukakamaa na kupunguza uwezo wa kusogea. 3. Kusikia mlio wa kukwaruzana au kubonyea wakati wa kukunja au kunyoosha kiungo. 4. Kuharibika kwa gegedu (cartilage) – jambo linaloweza kuongeza hatari ya ugonjwa wa osteoarthritis. 5. Kuvimba na kupungua kwa uwezo wa kufanya shughuli za kila siku kutokana na maumivu na msuguano wa viungo. #tangawizi #mifupa #maungio #maumivumagotikiunomgongo#foryou

AFYA YAKO NI FAHARI YETU
AFYA YAKO NI FAHARI YETU
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 20 July 2026 12:41:35 GMT
120
1
0
1

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @afya.yako.ni.faha, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About