@kidu_works: Mitandaoni kumekuwa na madai kwamba mtoto wa Cristiano Ronaldo anaweza kuwakilisha Ureno, Marekani, Uhispania, England na Cabo Verde. Lakini je, sheria za uraia za nchi hizo pamoja na kanuni za FIFA zinasemaje? Ni mataifa mangapi kweli anayastahili kwa sasa, na yapi ni stori tu? Kwenye video hii nimechambua kila kitu kwa ushahidi wa kisheria na kueleza kwa nini baadhi ya taarifa zinazosambaa zinaweza kuwa si sahihi. 🎥 Tazama video hadi mwisho ujue ukweli wote. ________________ Tufuatilie kwenye page zetu za Mitandao ya kijamii @byteview_tz lakini pia 🔴 Youtube yetu BYTEVIEW TZ kupata habari motomoto ________________ #ByteView #viral #reels #trending #updates

Mahmoud Mwanzemo
Mahmoud Mwanzemo
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 20 July 2026 15:23:26 GMT
37066
1672
10
33

Music

Download

Comments

mr.kenny923
Mr.Kenny92 :
Naomba Acheze kwingine Asichezee Ureno wamemtenga baba ake
2026-07-20 19:21:58
3
mussakhalifa492
Mussa Khalifa :
acheze hispania
2026-07-21 08:34:07
1
king._.fact
King Fact :
ee naomba amzidi baba ake umaarufu
2026-07-23 12:46:03
0
rajogeflm
Rajoge FLM :
Ronald baba Ake ni mbrazir kwann asirudi brazir
2026-07-20 21:04:39
0
ummu.ally6
ummu ally :
🥰🥰🥰
2026-07-21 08:17:30
0
baracka.msela.saf
official msela safi :
😁😁😁
2026-07-21 14:05:40
0
martinuwezo
martinuwezo :
🥰🥰🥰
2026-07-22 17:19:00
0
To see more videos from user @kidu_works, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About