@kizzygal6: Replying to @businessempiretz #1000kviews1000klike #creatorsearchinsights #@b,boys-hardware

The Wemah Touch
The Wemah Touch
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 20 July 2026 15:35:43 GMT
31909
1039
147
283

Music

Download

Comments

richstar_20
Richstar20 :
nikupe mbinu wakala ,mjulishe mteja kuwa athibitishe muamala kabla ya kutoka ofisini kwako.
2026-07-21 05:42:15
29
keneth2550
April 24 🇹🇿🇵🇹 :
ushauri ni kwamba Kila siku uwe na daftar uwe unaandika miamala yote ya simu namba,jina kiasi
2026-07-21 14:52:11
8
yuyuthalovie
yuyu♈ :
Yaani siku4 halafu urudi nikusikilize no thank you yaan siku ni moja tu ikipita sikusikilizi my dear 😂😂😂😂😂
2026-07-21 14:10:05
5
nelly.munis
Nelly Munis :
we usifute sms za miamala na ukifuta futa za zamani ,cku 4 hazijafika alikua wapi
2026-07-23 05:20:25
2
betty.silayo
bety🌹 :
Yan Cha kufany mteja akirud hakuna kutuma ela ten
2026-07-21 13:19:19
5
familykimaro
family :
hakikisha unaandikisha wateja wako kwenye kitabu mnachopewa
2026-07-21 10:45:28
7
justinamapema7
sympathetic :
mteja anatakiwa ahakiki muamala kabla hajatokaa kwa wakala,akiludi siku nyingine uwo muamala hausikii naooo na endapo akisema alituma kwa mtu sheria aziruhusu kumtumia pesa mteja wa mbali kwahyo ni kosa lake ,hairidi elaa kifupi huduma ya wakala na mteja inafanywa mkiwa mnaonana na mnamalizana hapo hapo akienda na kuludi iyo ni biashara nyingine ile ya mwanzo mshamalizana
2026-07-21 13:52:35
1
viola.assey
Viola Assey :
Mimi labda utudi kesho yake au siku hiyo lasivyo utanisamehe nakama hela haikwenda kweli nikifunga esabu ikizidi nawekaga pembeni
2026-07-21 14:35:01
3
iamcleopatricia
Ms Bee🌹 :
Si kuna vitabu vya rekodi za miamala? Vitumieni
2026-07-21 17:51:42
0
emmykatamwa
Emmy Katamwa :
Kwanza mm nafunga hesabu kila cku hela ikizid naweka pembeni na kingine nimetuma hela mteja akae cku zaidi ya moja na pesa yangu ipo sawa tutasamehana na hyo mteja sipigi cm hata huko mtandaoni
2026-07-21 17:47:14
3
71mkalienu19
baba Brian :
Wakala usitumie mtu hela, mwekee hela mteja uliye naye counter. Kutuma hela ni kosa na risk kwako. Kuweka hela ndo jukumu lako, siyo Kutuma.
2026-07-21 21:42:49
1
my83709
my :
ishanikuta ila kamer inasaidia jaman mawakala fungeni kamera
2026-07-21 14:03:59
1
kenanmligo
Kenan :
Vile Vitabu vya muhimu sana sema tunapuuza
2026-07-21 12:50:16
4
potfary
Potfary Ngilangwa :
siku 4? unamsikiliza vipi?
2026-07-22 06:33:02
3
kanticreativeai
Kanti Creative AI :
rule namba moja -- usipige simu huduma kwa wateja rule namba mbili-- mkatae mteja mwambie sikukumbuki nenda na huo msimamo hadi mwisho
2026-07-24 09:04:02
1
e622284
abby girl :
situmag ela ya ivyo
2026-07-21 12:52:48
2
amani_mzuzuri
medicine Tz :
Njia rahisi ni kumwambia mtu aondoke, kwa sababu hiyo kila siku wakala lazima ufunge Hesabu, Kama Kuna hela imezidi utaona siku husika uliyofunga Hesabu, so hiyo itakuhakikishia kwamba haudaiwi wala haumdai mtu hela yoyote... I think naeleweka
2026-07-22 15:53:04
1
mwanahamisi.mseke
Mwanahamisi Msekeni :
muhimu asubiri message tu la sivyo asirudi sitomuelewa
2026-07-22 09:11:32
1
hunna_omar2
-hunna-🌸🫧 :
Weee mi nawakataaaga hata kama namkumbuka ila nina uhakika nilimuudumia na akakubali jina namwambia simjui kuepuka mambo mengi huwa wanatabia za kubadilisha number 😂🙌🏾
2026-07-21 17:27:30
2
marjorie_583
Marjorie🥰 :
Mwingine hata kuja hajaja ila anakulazimisha jana alikuja hela haijafika tena wanapenda kutaja mtandao wa Airtel
2026-07-22 09:30:08
1
teddy.swai
Teddy Swai :
cha muhimu n kua na record ya miamala ya wateja wako hakikisha Kila mteja unayemudumia andika n Kias gan naomba yake ya simu pamoja na Kias inasaidia
2026-07-22 05:52:34
1
bussinessofficer
SAMMYYYYY :
fungeni mahesabu asubuhi na jioni mbona iyo inajulikan
2026-07-21 12:50:00
1
sajeyes
Sajidath Eye's :
michezo hyo imenipotezea wateja na wezi pia, mtu akija naangalia camera kipande alichonipa pesa na alivyotaja namba na jina namuonesha wengine wanasonya hawarud, mwingine alinambia nilikosea itakuwa bas nilituma kwa wakala mwingine, mwingine anaomba samahan kwa kuzuga kazi ipo mbona mawakala tunanyooka
2026-07-21 15:52:27
4
happyswai48
Happy Swai343 :
🤣🤣🤣 weeeh ukiondoka umeondoka na hela yangu ukirudi hatujuan
2026-07-21 12:19:06
3
ezooasilimae
Ezooasilimae :
Aisee umeongea kitu kikubwa sanaaaaa yani inabidi sa hv mimi na mteja tuwe tunahakikisha na hilo jambo lishanitokea sema pesa ndogongogo wengine naiona miamala wengine inabidi nitume hamna namna sababu umeshawapigia huduma kwa wateja wanakwambia mteja huyo haukumuhudumia japo mm huwa na muda mwengine namwambia mteja njoo kesho nikishapiga mahesabu pesa ikizidi naitoa na ile aliyosema nimemtumia kama haiendani sitoi pesa.
2026-07-21 11:50:58
3
To see more videos from user @kizzygal6, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About