basi Leo ndio nimeelewa kumbe alikua anaitwa na mufti anamdharau haendi ,,Sasa kama kiongozi wako mkubwaa amakuita muekee mambo sawa na hauendi,,basi nishaelewa kulikua na mambo mengi mno hapa katikati mpaka kufkia kuvuliwa uongozi,,kama ni kweli bais kibri kilitawala
2026-07-21 08:16:20
9
Abal Ajami :
wajua hizi simu kumsevu mtu haimaanishi ni yeye jamani inawezekana fika kuandika namba nyingine ukasevu jina unalo taka na ukalichatisha, twataka tuone hiyo namba ya simu, pili tuone hicho kipindi cha chating zao
2026-07-21 11:44:41
5
Fei_hat khan 🥰 :
kama mtu akutaki si bc sio lazima anaekupenda akupende dada weka akiba ya maneno kesho yako uijui unadhan aya unayofanya yatadumu na unazid kujiharibia kwa uyo mwanaume ni vyema ukaa kimya ukatafuta namna nyengne tu
2026-07-20 22:53:57
17
Self queen🦋 :
😂😂mbna unafuta commenty jamani😁
2026-07-20 19:46:42
17
Warda Idrisa :
uwe unasalimia kwanz sounaanz kutupa story2
2026-07-21 06:59:45
15
sabra hassan :
Bela tena fanya yaishe ,msamehe
2026-07-20 17:56:01
11
HUSTLER GIRL💪🎀🎁 :
NYIE HUYU KWA AKIL ZAKE ANAWEZA AKAWEKA PICHA YA SHEKHE NA KUJIFANYA NDO ALIKUWA ANACHATI
HIZO SMS SIO ZOTE ZA UKWELI KAMSEV WALID MAGOMENI TUNAAMINIJE KUWA HUYO NI SHEKHE KINA WALID MAGOMEN WAPO WENGI JAMAN HALAF HAPA SIO MAHAKAMAN
2026-07-20 19:51:15
16
Pisces ♓️ :
Mie anayenitumia laki5 tu siwez kumpoteza 😂😂😂
2026-07-21 13:26:52
0
Hashimu Thabeet :
eeeeeee
2026-07-20 20:13:51
0
Kantushy A🍭 :
Sasa kama number ume save tu waleed alafu sio yeye tutajuaje 🤣🤣🤣
sasa hivi watu wakitaka kuoa waoe familia zao damu zisiende ndani musikurupuke family kwanza cousin ama mtoto wa karibu wa familia musije mukajuta ama kuoa mtu anayemfahamu kifamilia yao muwe makini
2026-07-20 18:46:22
6
@Phiyaah khan :
Shekhe Ana hekma sidhan kama anaweza kukujibu maana anajua utapost tu 🤣🤣
2026-07-21 06:57:57
4
user8376004761674 :
yeye ni binadamu kama wengine na anakosea yeye siyo mtume
2026-07-20 21:16:17
2
@Phiyaah khan :
Utampoteza mtu anayekutumia 2M KWELI😁🤣
2026-07-21 08:00:49
2
TheHiddenClue :
watu wanaobisha na wanaokubali hawajui kwamba sote ni binadamu tunaanguka ila ninachoona KIBRI ndo imeleta yote haya
2026-07-21 11:21:23
4
alrahman_madrasah :
dada kama tulikuudhi tunaomba utusamehe, achana na hawa wanaokutukana usiendelee kumchafua sheikh.
2026-07-21 08:47:09
4
CUTE~GENO🫦. :
Mbona kama kwely
2026-07-21 12:18:50
1
To see more videos from user @user28882761968133, please go to the Tikwm
homepage.