we misitasahau 2020 tuliona tangazo minamama wanataka wafanyakazi mshahara laki3 basi asubui minamama tukaenda tukapewa form zakujaza tukajaza badae tukaitwa kikao kilamtu akapewa mzigo wake mama beseni mimi hotpot nikauze40000 kwaiyo nikiuza45000 elfu5 yangu tulitembea kuanzia mwenge adi bunju yani bado kidogo tufike bagamoyo kwa miguu nasikuuza nilitembea nimeinama wikinzima kesho yake sikurudi mama akarudi nayy alitembelea gongo wikimbili mamae🤣🤣🤣🤣🤣
2026-07-21 20:25:14
1
shamy❤️❤️ :
Me nlichokaa kukaa nymbn nkasema wachaa ntafute kazii mungu si asuman nkapataa na nkaanza sku hiyo hiyo mamntilie kariako sasa nkawekwa kitengo cha kupikaa nkapikaa mwenetu chakulaa kila mteja anaekuja anakisifiaa na kiliishaa mapemaa sasa baada kupikaa kulikua na wa kusuply sasa walikua wavivu ety me mchapakazii naambiawa twende mwaya tukachukue vyombo nashanga nkifikaa naelekezwa apa paintwa wap na uyu ni nan kumbe ni janja yaan niwe napikaa na kusply nkasema poa sio shida twende kwenye mshaaraa jion napewa 4000 jmn nlitamn kulia ety sku zinavyozidii kwenda ntakua nakuongezea we kesho yake mama ananipigia simu mbn aufikii nkamwambia nko msiban nkitokaa ntakupigia😂😂😂😂
2026-07-21 07:12:48
10
Beatha seleman :
UMENIKUMBUSHA MAMA ALIKUTANA NA ENTENO wakamshawish akaja kunishawish nikaenda ofsin majumbaa 6 kwa mbel nikapew t shet na lain sikumbuk na nn yaan nalud namuadisia baba akacheka sikwenda ata kutembeaa😅😅
2026-07-21 18:20:36
1
leticia Remy :
bora wewe mi nakumbuka ilikua mwa 2021 nilichukua namba nikapiga sim wakaniita ofisini nikapewa gorm nijaze ad pasport wakanambie uje kesho kesho yake napewa dawa mara za uti na ngivu za kiume na nyingine nyingi wakanambia ni mwanzo tu badae tutakuamisha ila nilishindwa kwakweli ila aya maisha hapn😂😂😂😂
2026-07-20 21:32:37
11
wazir@ :
ww acha tu nilijaza fom ya cello nikambiwa kesho asubui niwahi kwenye itaviu na niwe na shati jeupe na suruwale nyeus nikakopa pesa ya mam ntilie nikaenda kununuwa surwale kesho nikawahi kwenye itaviu na fikatu nakuta wezagu wako kwenye paredi nikashutuka nin ten bas na mim nikauga bas tukamaliz bas nikapewa mdada tuogozane sto weee nilipewa viti kumi beseni sta nibebe weee bas nikatoka navo kweli mpaka stendi tunenda kupanda daladal tunaenda mwege asee nilimwacha mdada steni na viti kumi na besen 7
2026-07-21 19:11:25
1
Raymond Msimbe :
kuna yule alipata kazi ya kuhuza chakula kariakoo akaambiwa azunguke atafute oda saa ngapi Ajapotea wakati wa kurudi kazunguka mwishoni katokea mnazi mmoja na saa ni saa 11 ikabidi apande daladala arudi nyumbani 😂😂😂🔥
2026-07-21 20:44:17
0
nkeya ENIDIUS :
mtaniuaaa
2026-07-21 07:03:09
3
Ninnoh handbag 👜 :
Ilinikuta hii😂
2026-07-21 12:25:05
1
veeqbae🌹🥀❤ :
😂😂😂Mungu nisameh ila unachekesha
2026-07-21 14:42:03
0
❤️❤️❤️ :
😂😂😂nimecheka mpk machoz😂
2026-07-21 20:19:24
0
MANKA FOOD :
nimechekaaaaa
2026-07-20 20:54:19
1
vanessa william :
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu mm jamanii
2026-07-21 06:42:52
1
Yanna🧚♀️💫🦋 :
😁😁😁😁aiseeeww
2026-07-21 07:42:42
0
tipha :
jaman mbavu zangu
2026-07-21 08:05:56
0
hassan :
😁😁
2026-07-21 16:24:33
0
Prudence_889 :
🤣🤣🤣🤣 nyie
2026-07-21 18:44:19
0
Captain JR :
Aahaahahahaa
2026-07-21 17:14:30
0
abuhujampy :
hatimae mhalifu wetu kapatikan😂😂😂
2026-07-21 14:23:53
2
munnah stylish 👗✂️ :
🤣🤣daah
2026-07-21 10:38:38
0
To see more videos from user @avuniwa_ernest, please go to the Tikwm
homepage.