Kwani hizo ofisi mnazungumziaga vibaya huwa ni ofisi gani? Maana nimekaa almost ofisi nne tofauti sijawahi kukutana na hayo mambo ya ovyo kila mtu anatambua thamani ya mwenzake, Sometimes wewe ndo unaweza kuwa tatizo alafu ukaona colleagues wako ndo wana shida kumbe sio kweli
2026-07-21 06:01:14
37
chief-securty🇹🇿🇺🇬 :
straight status nimechoka
2026-07-22 07:32:03
0
Wolfgang :
nikutumie no ya meneja wangu umwambieee manaa he is too toxic and flammable 😂😂😂😂
2026-07-21 07:13:59
16
AccraDee🫶 :
😂😂😂Kuna Mimi napigwa vita lakini ndio hivyo boss ananielewa kinoma tumetoka mbali
2026-07-21 18:25:41
16
lety iddy :
nataman kutuma kwa group la ofisi ila napenda kaugali kangu 🥺🥺🥺🥺
2026-07-21 06:23:17
14
𝓒𝓪𝓻𝓻𝓲𝓮 🤎🧸 :
Straight kwa group la kazin
2026-07-21 19:08:56
2
Vero✅ :
Acha tu hii vita sijui tutaishindaje!!!
2026-07-21 02:56:05
13
dungula123_1 :
Kuna office moja nilipita.
Mama weee, kwanza Boss mwnyw ni akijua ww ni bright hakutaki.
2026-07-22 14:31:09
2
MagrethMwakyusa :
nimetoka kuwaza asubuh hii wakat nataka kwemda ofisini yaan kuna mtu Mungu ndo alisaidia akafika mahal kajisahau hodar wa kuunda fitina hodari wa kufukuzisha watu kazi yan hodari wa kuchezea akili za watu mchafuz halafu anamtaja Mungu aiseee Mungu atusaidie sana jaman pesa inafikaje kuwa na nguvu kwa moyo wa mtu hadi unashangaa akitaja Yesu
mtu anafanya ofisi n kilinge chake mtu unaogopa ofisi kila mtu amwabudu yy jaman aah nachoka mimi Mungu atusaidie tusibadilike
2026-07-21 06:40:05
9
VERO🫦 :
Uyu mdad nilimkutaga ofis moja iko kweny jengo la pssf yoooooo yan anakupokea vzr anakusaidia vzr yan utapenda jamn Mungu akubaliki mam🙏❤️
2026-07-21 15:03:54
6
joycemagambo856 :
yani DD umeniumiza tena. maana napitia magum sana kazin alafu kazi yenyewe ya ulinzi adui anatoka anaingia.jana nikapelekwa kwa viongozi nikakalishwa kikao kisa ata akieleweki DD napitia magumu sana. nauza kalanga kumbe naye alitaka kuhuza kokoto si angemwambia tuu Sy kunitukana na vikao kila siku. maneno ya uongo alafu kwenye kikao anacheka. DD ww acha tuuu.mm sijui nifanye je. ningekuwa nishamaliza nyumba yangu ningeacha kazi ya ulinzi mama nimechoka sana moyo ❤️💓 wangu imechoka jana adi natamani niache kazi DD sijui nifanye je pia tatizo sijui kiingereza ndio maana wananizalau kwa sababu yy ana digrii kama deni la taifa. pia na kieleeleee kesho navoweka sitatus kabisa na APA nimepangwa naye post moja nimeongea sauti naye anasikia DD DDD nasemaga mm kila SK aya maisha tuuu tutakutana mmikoan au popote
2026-07-22 07:59:59
1
Rutaarn :
upo wapi we mdada kuna sanamu lako hapa sijui nakupataje nikupee
2026-07-23 08:11:22
2
Ab113tech :
offisi inaonesha True Colors ya Mtu 😂
2026-07-21 05:53:05
6
Jenipha _Safari_Consultant🇹🇿 :
Someni na zaburi 23:1
2026-07-22 05:30:10
2
Anna Mfikwa :
👏👏watu kama wewe wachache sana balikiwa sana mbeba maono wangu
2026-07-23 13:11:08
1
7880 :
Wakati wa Mungu Ni Wakati Sahihi Someni na Zaburi 109.
2026-07-21 05:02:02
6
Serhaworld🦋 :
Nataman nimtumieeeee mama mmojaaa hiviii hiiii aiseeee🙌
2026-07-21 15:58:38
3
danieĺ :
Nikupe namba ya supervisor wang 😂😂😂
2026-07-21 18:48:00
6
naitham :
hizo ni local government walah hakuna rangi utaacha kuona
2026-07-21 18:22:51
2
jenipher erasto :
I will be a CPA like you in Jesus name Amen
2026-07-21 19:09:22
1
Trish Sissy :
Umesema kweli uchu,uongo,fitna kujipendekeza kwa watu kimaslahi,wale wa kuropoka ili waonekane wanaongea saanaa,wajuaji,wenye wivu,sumu za ubaya ili wakushushe wao wapande,wanaotamani ukose tu hiyo nafasi kwa kuwa wanaishi kwa hisia wafurahi,wakucheke,ukahadithie wanaona ukipata unaweza kufika mbali na wao hawataki utangulie wewe kwanza kupata khaaa ni mengi🤣😂😅😂🤣
2026-07-21 21:15:04
2
user82153536 :
kweli
2026-07-21 09:29:45
1
Lillies Ng'anzi :
sana jamani mi ndo maana nabaki kimya mtu anaongopa jamani mpaka unashangaa
2026-07-22 09:29:58
1
user749245617818 :
Asante sana ujumbe mzito na mzuri 🙏
2026-07-21 22:06:13
1
kanamgiga :
Thanks so much 🙏
2026-07-21 10:43:53
1
To see more videos from user @emilia_jamii, please go to the Tikwm
homepage.